Uongozi, ajira na kiwewe cha 'familianaizesheni'

Jesse

New Member
Nov 21, 2007
1
0
Baada ya kusoma makala ya ndugu Johnson Mbwambo (iko hapo chini) nimeona sina budi kuchangia kidogo katika mjadala huu.


 
SLAA vs
LISSU vs
NDESAMBURO vs
MBOWE vs JOYCE MUKYA.
Hapo juu jaza mwenyewe , kosa liwe kwa Ridh1 kugombea?
 
demokrasia ilikufa maana hata wajumbe,mkiti wilaya na mkoa walikuwa na hofu maana ni jina la mtoto wa m/kiti wa chama taifa
 
alienda kinyume cha sera ya ujamaa na kujitegemea,maana familia moja kuichota hazina mamilion kwa kazi isiyo ya kusomea angali walikuwapo wengi wengine wenye sifa.hakuna division ya keki ya taifa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…