Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,271
- 13,429
Habar wakuu!. Nimejitokeza kwenu kuomba ushauri! Nina rafki yangu ana mke lakn hawajapat mtoto bado na mm nina girl friend huyu mke wa rafki yang na girlfrnd wang n marafki sasa tatzo nikwamba huyu shemeji yang ananishawishi nimzalishe yeye anadai mme wake hawez kumpa mimba hvyo wifi zake wanamsimanga kuwa wanataka mtoto na hawajawah kwenda kupma kujua nan mwenye tatzo! Yaan nakosa jibu ananijia usk na mchana kunitega chumban kwangu mme wake asipokuwepo lakn naogopa sana japo yeye anasema nimnusuru kwenye ndoa yake kwasababu mawif wanamgasi sana juzi kati alifkia mpaka kunililia machoz na kunishka uume wangu nimemsihi sana lakn hakubali kaniambia had sk zake kasema j2 ndio sk inayotakiwa nimgegede ili mimba itungwe. Sababu kubwa yakuniganda mm nikwamba mm na huyu jamaa tunafanana flan kuanzia kimo umbo mpaka baadh ya watu wanadhan sisi n ndg. Npen ushaur wakuu cjui nimgegede au nimkane