Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,235
- 5,332
AiseeMi mpaka leo bado naamini
AiseeMi mpaka leo bado naamini
duu umekua samakiKutembea chini ya majini kwa miguuu
itakua alimaanisha midoliNiliwah ambiwa watoto wananunuliwa dukani nikaamini
unaamini kipiMi mpaka leo bado naamini
Hapana niliuliza baada ya kuona mama kaja na mdogo wangu dah et katoka kumnunuaitakua alimaanisha midoli
Duu...bac alitishaHapana niliuliza baada ya kuona mama kaja na mdogo wangu dah et katoka kumnunua
ugusie kidogo tujikumbusheUkisikiliza wimbo wa Marehemu Mr Ebbo (ABELI MOTIKA) M.A.P amezungumzia mambo mengi sana tulikuwa tunadanganyana.
1.Ukilia kwenye sufuria utakosa mkeugusie kidogo tujikumbushe
pomoja mkuu kwa kuthrow back1.Ukilia kwenye sufuria utakosa mke
2.Mvua ikinyesha na jua likiwaka SImba anazaa
3.Mtu akikuruka unakuwa mfupi.
4.Ukijing'ata kwamba mtu anakusema.
5........................................................
Wazazi wa zamani walitupenda ohooo,uzushi na maneno mbofumbofu.
aiseeUkichomwa na mwiba ukiutoabukiweka kichwani unaokota hela,hadi leo naamini,ukimeza mbegu ya tunda mti unaota kichwani,ukimcheka albino unazaa mtoto kama yeye,ukikutana na bibi usipomsalimia unageuka jiwe