Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 3,428
- 5,282
Space and Time, ni sisi binadamu tulio invent,Mungu sio mtumwa wa space, time and matter
Hakuna mlango wa fahamu unaweza kufanya kazi nje ya hapo
Kwenye vitabu vyenu hawajaeleza issue ya space and time.
Na Kwa mujibu ya nadharia ya space and time,
Hakuna kinacho exists nje ya space and time