Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Sayansi kama haina majibu inatengeneza theories kulingana na sampuli zilizopatikana kwenye tafiti

Sayansi ni fani pweke na huru ambayo haina majibu ya mambo chungu nzima katika huu ulimwengu.

Sayansi siyo msingi mkuu wa kujenga hoja kwa atheist licha ya kupenda kujikomba nayo.

Science doesn't deal with any non-observable realm, kwa msingi huu hamna mtu yeyote yule anayeweza kujinadi kutumia sayansi kuthibitisha kutokuwepo kwa MUNGU.
 
Mmekazana kuuliza maswali ya kisayansi ili yakikosa majibu iwe ndio ushahidi wa uwepo wa Mungu?

Unanipangia cha kuuliza? kilichokufanya ushindwe kudadavua maswali niliyouliza kiasi cha kuhisi yapo nje ya mada si kingine ni ujinga, halafu mbona kama unajihami hivi, unahofia nini?

Wanaounga mkono madai yako wanapokazana kutumia hoja za kisayansi huwahanyi wala huwashangai, ila nayeuliza maswali kutokana na wanachochangia ndo unaniona kipele

 
Kwahiyo wewe ulikua unataka Mungu mshinde naye vijiweni na mitaani?
Mungu hayupo.

Ninyi huwa mnadai Mungu yupo kila mahali, Sasa mbona una mu Exclude kwamba hayupo vijiweni na mitaani?

Una ji Contradict mwenyewe kwenye dhana ya uwepo wa Mungu.
 
Kwanini “Mungu” aweke ugumu sana kumjua na mafundisho yake sahihi ni yapi?

Nauhakika kwa 90% dini unayo iamini unaamini kwakuwa umezaliwa na kulelewa katika imani hiyo(prove me wrong)
Na hii ni kwa watu karibu wote duniani
Ni asilimia ndogo sana wanaobadili dini baada ya kujishughulisha angala kutaka kujua na kuwa na machaguo “sahihi” ya imani

Ukweli ni kwamba asilimia kubwa wanaamini kile wamelishwa(brainwashed)toka utotoni na wazazi/walezi na viongozi wao wa dini

Kama ungezaliwa Iran na wa iran ungekuwa Mshia na ungezaliwa Korea ungeabudu mabudha na ungezaliwa viunga vya Paris maybe ungekuwa mu RC
Duniani kuna Dini nyingi Sana sasa utajuaje Dini uliyopo ndio sahihi?na kila mtu wa Dini tofauti na yako unamuona amepotea!wakuu Dini Ni uongo mkubwa Sana uliokubalika na wengi kwa muda mrefu!binadamu wa kale baada ya kukosa majibu ya baadhi ya maswali magnum mfano tumetokea wapi,kwanini tunaishi,kwanini tunakufa ,chanzo cha Dunia,mtengenezaji wa hii Dunia Ni Nani/Nini,tukifa Nini kinafuata,,basi wakaanza kutunga tunga na kukisia tu mambo lakini ukweli Hakuna anayejua !tumebaki kudanganyana tu Dini sijui imani na bla bla zingine Ni uongo 😀😁
 
Duniani kuna Dini nyingi Sana sasa utajuaje Dini uliyopo ndio sahihi?na kila mtu wa Dini tofauti na yako unamuona amepotea!wakuu Dini Ni uongo mkubwa Sana uliokubalika na wengi kwa muda mrefu!binadamu wa kale baada ya kukosa majibu ya baadhi ya maswali magnum mfano tumetokea wapi,kwanini tunaishi,kwanini tunakufa ,chanzo cha Dunia,mtengenezaji wa hii Dunia Ni Nani/Nini,tukifa Nini kinafuata,,basi wakaanza kutunga tunga na kukisia tu mambo lakini ukweli Hakuna anayejua !tumebaki kudanganyana tu Dini sijui imani na bla bla zingine Ni uongo

Hakika mkuu
 
Sayansi ni fani pweke na huru ambayo haina majibu ya mambo chungu nzima katika huu ulimwengu.

Sayansi siyo msingi mkuu wa kujenga hoja kwa atheist licha ya kupenda kujikomba nayo.

Science doesn't deal with any non-observable realm, kwa msingi huu hamna mtu yeyote yule anayeweza kujinadi kutumia sayansi kuthibitisha kutokuwepo kwa MUNGU.

Science never claims can solve everything

Yaani kichaa mmoja ajiite Mayu aanze kusema anaongea na Mungu na kumpa muongozo wa binadamu uweje halafu tukubali tu...... NOT IN SCIENCE
 
Mayu aanze kusema anaongea na Mungu na kumpa muongozo wa binadamu ...... NOT IN SCIENCE

Upo sahihi, mambo ya ufunuo tunajifunza kwenye THIOLOJIA na si SAYANSI. So hilo waachie waliobobea THEOLOGY na si SCIENCE
 
Yaani ... aanze kusema anaongea na Mungu na kumpa muongozo wa binadamu uweje ...... NOT IN SCIENCE

Ulichoandika hapo juu nakigeuza kwa mtindo wa swali

Aliphatic hydrocarbons na drosophila mellanogaster life cyle ni moja ya vipengele vinavyopatikana kwenye THEOLOGY?

We jamaa bwana
 
Yaani kichaa mmoja aanze kusema anaongea na Mungu na kumpa muongozo wa binadamu uweje halafu tukubali tu.

Wasifu wa aliyepokea ufunuo (KICHAA) tu peke yake unajitosheleza kwa 100% kubatilisha hilo "kutokubali", naungana nawe kwenye hili
 
Back
Top Bottom