United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 2,766
- 5,415
Nilishawahi mdanganya mwanafunzi IFM pale Kigamboni kwenye pantoni nasoma CPA kumbe ni darasa la Saba failure tu na kaingia kingi kweli ishu ilikuwa kakiomba kaje nikafundishe maana kalinambia kanasoma mambo ya banking balaa likua linaanzia hapo.
Huu ndio uongo ambao nimewahi tumia na ukanilipa sijawahi kutuma gharama yoyote zaidi ya kuombwa muda wa kukafundisha haka kabinti
Wazoefu wa mambo nyinyi mnatumia mbinu gani ya uongo kuwanasa hawa viumbe.
Huu ndio uongo ambao nimewahi tumia na ukanilipa sijawahi kutuma gharama yoyote zaidi ya kuombwa muda wa kukafundisha haka kabinti
Wazoefu wa mambo nyinyi mnatumia mbinu gani ya uongo kuwanasa hawa viumbe.