Mussa Ubapa
Member
- Sep 18, 2017
- 49
- 19
Wadau wa JF nahitaji kujua kama inawezekana na kukubarika kwa mwanafunzi ambaye tayari amedahiliwa kwenye chuo kimoja tu,lakini course aliyopata hakulizika nayo.Je na yeye anaweza Ku reapply ???
sidhani kwa sababu kama hiyo course haridhiki nayo hakutakiwa kuomba toka mwanzoWadau wa JF nahitaji kujua kama inawezekana na kukubarika kwa mwanafunzi ambaye tayari amedahiliwa kwenye chuo kimoja tu,lakini course aliyopata hakulizika nayo.Je na yeye anaweza Ku reapply ???
Kuna Transfer Subiri utapata ,au Unaweza Badili Course Happ ChuoniWadau wa JF nahitaji kujua kama inawezekana na kukubarika kwa mwanafunzi ambaye tayari amedahiliwa kwenye chuo kimoja tu,lakini course aliyopata hakulizika nayo.Je na yeye anaweza Ku reapply ???
Ilikuwa lazima kujaza course tano,so zingine ilikuwa ni kuongezea tu afu ndo hizo unapatasidhani kwa sababu kama hiyo course haridhiki nayo hakutakiwa kuomba toka mwanzo
Huo utaratibu wa transfer unaanza ukishafika chuoni au kablaKuna Transfer Subiri utapata ,au Unaweza Badili Course Happ Chuoni
Transfer zitafanyika Soon Baada ya Kumaliza Hizo Selections..Ila Utatakiwa kulipa Ada za Uhamisho ,kutoka Chuo A To Chuo B ..Ilikuwa lazima kujaza course tano,so zingine ilikuwa ni kuongezea tu afu ndo hizo unapata



Ni tahadhari Tu mkuuAhsante MkuuTransfer zitafanyika Soon Baada ya Kumaliza Hizo Selections..Ila Utatakiwa kulipa Ada za Uhamisho ,kutoka Chuo A To Chuo B ..
Ingawa na Uhamisho una mengi
Chuo unachochataka Wanaweza sema hawana nafasi ..
Kama Utabahatika Kupata Mkopo pia ,utapangiwa Allocations kwa Chuo chako ulichochaguliwa mwanzo...Sasa ukibahatika Kuhama ,ina maana Unaweza Uishi Chuo semester nzima pila BuuuuuummuuuNi tahadhari Tu mkuu
Au Unaweza Kwenda Chuo Ulichochaguliwa afu Ukafika Pale Ukaongea na The Concern Kama Ni Register au Watu wa academic wakakuhamisha Kozi pale pale Chuo ...
Ila Ina effect pia Kama umeenda pale na kozi Ya Miaka Mitatu afu Ukahamia Kama Engineering ya Miaka Minne...bodi wanajua wewe upo Na Miaka Mitatu ..usipofatilia Vyema unaweza Fika Mwaka wa tatu pesa Ikakata Kama Luku ...

daah mkuu umenena vemaTransfer zitafanyika Soon Baada ya Kumaliza Hizo Selections..Ila Utatakiwa kulipa Ada za Uhamisho ,kutoka Chuo A To Chuo B ..
Ingawa na Uhamisho una mengi
Chuo unachochataka Wanaweza sema hawana nafasi ..
Kama Utabahatika Kupata Mkopo pia ,utapangiwa Allocations kwa Chuo chako ulichochaguliwa mwanzo...Sasa ukibahatika Kuhama ,ina maana Unaweza Uishi Chuo semester nzima pila BuuuuuummuuuNi tahadhari Tu mkuu
Au Unaweza Kwenda Chuo Ulichochaguliwa afu Ukafika Pale Ukaongea na The Concern Kama Ni Register au Watu wa academic wakakuhamisha Kozi pale pale Chuo ...
Ila Ina effect pia Kama umeenda pale na kozi Ya Miaka Mitatu afu Ukahamia Kama Engineering ya Miaka Minne...bodi wanajua wewe upo Na Miaka Mitatu ..usipofatilia Vyema unaweza Fika Mwaka wa tatu pesa Ikakata Kama Luku ...

Mkuu Yalikukuta Enhe? Maana Transfer Ina Raha yake ila Karaha IPO Kubwa sana kwa HELSBdaah mkuu umenena vema
Namshauri na kumsihi sana asifanye transfer KABISA![]()
![]()

Yalinikuta mkuu nikala jeuri yangu adi nikazoeleka heslb adi tcu walijua mimi ni mmoja wa wafanyakaz pale maana kila siku nipoMkuu Yalikukuta Enhe? Maana Transfer Ina Raha yake ila Karaha IPO Kubwa sana kwa HELSB![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu Nimecheka kwa sauti kubwaYalinikuta mkuu nikala jeuri yangu adi nikazoeleka heslb adi tcu walijua mimi ni mmoja wa wafanyakaz pale maana kila siku nipo

Mkuu Nimecheka kwa sauti kubwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wenzako wanakula Q1 na Q2 we huna hata Mia ..pesa Ziko Chuo Cha awali ..
Alafu unaweza upewe Q2 uambiwe ile Q1(724,000) haijafanyiwa Retirement![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
daah umenikumbusha mbali sana mkuu ivo yan hasa ako kaneno retirement bado hahaaa atari sana atasugua mwisho anaweza ata akarudi hom sjui kitu gani sjapitia upande wa izo changamoto

Neno la![]()
daah umenikumbusha mbali sana mkuu ivo yan hasa ako kaneno retirement bado hahaaa atari sana atasugua mwisho anaweza ata akarudi hom sjui kitu gani sjapitia upande wa izo changamoto
Pale hesb utaskia napishana na liboss yupo habar za saiz vip bakari kaenda kupata chai![]()
![]()
![]()

Neno la
retirement
Allocation
Lazima ulisikie kila Siku uendapo
Bila kusahau kutaja Namba ya Form Four Pale Mapokezi![]()
![]()
![]()
![]()
salute boss umeiva hahaa mlemle ila anyways ajaribu mdau huenda ikawa easySio kweli ...nilisema Sitasita Kumshauri mtu Kuhama chuo Kama Ilivyo Taratibu na stasahau kumsanua ajiandae kupiga jaramba za Bodi ya Mikopo kwa kukimbizana na ile saa Saba yao![]()
![]()
salute boss umeiva hahaa mlemle ila anyways ajaribu mdau huenda ikawa easy





Absolutely legend,, aandae kilo kadhaa mimi nilikaa semester3 buku ilikua inatosha mlo wa siku nzima asubui kavu mchana miogo mitano jioni miogo minne na chai ya rangi siku imeisha dah mabibo sokoni kule sjui adi leo izi mambo hahaaaSio kweli ...nilisema Sitasita Kumshauri mtu Kuhama chuo Kama Ilivyo Taratibu na stasahau kumsanua ajiandae kupiga jaramba za Bodi ya Mikopo kwa kukimbizana na ile saa Saba yao
Kuhama Ni rahisi ..Cha msingi Ujipange na pesa ya kianzio
you made my day brotherKwahyo chuoKuna Transfer Subiri utapata ,au Unaweza Badili Course Happ Chuoni
So nauliza kama unahamia chuo kingine ulipaji wa ada inakuaje kama bado mkopo wako haujaanza kupelekwa kwenye chuo ulicho hamia?Transfer zitafanyika Soon Baada ya Kumaliza Hizo Selections..Ila Utatakiwa kulipa Ada za Uhamisho ,kutoka Chuo A To Chuo B ..
Ingawa na Uhamisho una mengi
Chuo unachochataka Wanaweza sema hawana nafasi ..
Kama Utabahatika Kupata Mkopo pia ,utapangiwa Allocations kwa Chuo chako ulichochaguliwa mwanzo...Sasa ukibahatika Kuhama ,ina maana Unaweza Uishi Chuo semester nzima pila BuuuuuummuuuNi tahadhari Tu mkuu
Au Unaweza Kwenda Chuo Ulichochaguliwa afu Ukafika Pale Ukaongea na The Concern Kama Ni Register au Watu wa academic wakakuhamisha Kozi pale pale Chuo ...
Ila Ina effect pia Kama umeenda pale na kozi Ya Miaka Mitatu afu Ukahamia Kama Engineering ya Miaka Minne...bodi wanajua wewe upo Na Miaka Mitatu ..usipofatilia Vyema unaweza Fika Mwaka wa tatu pesa Ikakata Kama Luku ...
Ada hainaga Tatzo maana Always comes Last ..Kwahyo chuo
So nauliza kama unahamia chuo kingine ulipaji wa ada inakuaje kama bado mkopo wako haujaanza kupelekwa kwenye chuo ulicho hamia?
