Kweli mkuu hembu nicheki na mm wanaweza wakawa wamenibadilishiaHizi kelele zinasaidia sana.
Juzi walipandisha kutoka 2GB mpk 1.2GB lkn leo naona wamerudisha.
View attachment 1142878
Ipo bhanaTATIZO HAWANA 4G
Tafsiri ya kiswahili mkuu........wengene std 1...to2Quality products and services are expensive. And businesses are try to adapt with the current business/economic instabilities as a result of miscalculated/misguided and poor political decisions. But you all have choices and options to choose from but fundamentally all options are the same, they are all broken i.e thieves in variety of ways so its the matter of choosing whom you think will accommodate your needs despite of the theft.
Tigo matapeli wa kwanza.....hapa tz..mkuuVodacom wajinga....sawa
Vodacom wapumbavu....sawa
Vodacom wezi.......sawa
Unakwenda Vodacom kufanya nini? Ridhika ba tigo iliyo nafuu na tamu na nyepesi na rahisi na yakisasa
Hahaaaiyo Uni waneshusha tena!...sasa naona voda wamenishika matako
Hii inawahusu matajiri kama nyieHuwa naitumia kwa wiki na kubaki kabisa, tena sms za kawaida ndio natumia kwa wingi zaidi maana kuna watu wanatumia simu ndogo na mawasiliano nao ni kupiga na sms tu.
Sasa iweje siku 3 tu ziwe zimekata ilihali MB bado zipo...
Hapa nilipo nimenunua kifurushi cha sms kwa 500/= cha 24hrs ili kusogeza hii siku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii inawahusu matajiri kama nyie
Nilifikiri ni mimi peke yangu. Voda makalio sana keimamae zao!Wajinga sana hawa Vodacom Tanzania, wamenipandishia bei ya vifurushi kutoka 2000/= kwa 1GB hadi 3000/= kwa 1.2GB. Sms wananiambia ni UNLIMITED lakini hadi sasa zimeisha kwa siku 3 tu.
Acheni uhuni Vodacom Tanzania, na hela yenu niliyokopa siirudishi nahamia kununua bando kwa M-pesa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nilifikiri ni mimi peke yangu. Voda makalio sana keimamae zao!
Wasengerema sana wallah... Super UNI wamepunguza toka 3GB mpaka 1.5GB kwa wiki kwa 5000Tshs[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Pole babu, wangejua kama wewe ni babu wasingekufanyia hivyo
Nasikia jiwe lipo CHATOOOOO....Watupe bando la kutosha ili tuwe huru kuperuzi maana kwa ss data ni muhimu sana.