Unyanyapaa wa Chadema


Mkuu ukiendelea kuwa na bahati wataendelea kutiririsha ulevi wao huohuo mpaka pale watakaporidhika,lkn bahati ikikupungukia utakoga mitusi wewe mpk ujute kuja na thread hii,hawa ndo CDM wa JF bwana,Viumbe wanaoamini kuwa wao mpaka Viongozi wao ni Malaika wasio na mapungufu hata chembe.
All in all nimekukubali wewe ni MWIBA na umewachoma,wakubali wakatae.
 

huwezi amini spika baada ya kuona laana inamjia amewaomba wabunge watoe posho zao ziende kwenye maafa kule zenj

unalionaje hili swala je litamsaidia kuondoa laana?
 
Mwiba, pole kwa hayo majibu, lakini kitu isicho fichika jeshi la polisi ni sehemu kubwa ya matatizo ya nchi hii:sasa unafiki hautakiwi katika kutetea masli ya taifa hili au kwasababu wana bunduki. na siyo zambi kuingia kwenye utawala na kubadilisha uongozi wa jeshi inawezekana... ni ukweli tu ndiyo utaokoa taifa letu lanye uchungu mwingi sana na watu wanafki kama nyie mnashindwa kulisemea kwasababu hao ni polisi. haujui kama kuna baadhi ya mapolisi wana shilikiana na majambazi have a gooday
 

Weye ulitaka wafanyeje kama wapinzani mathalan? au hivi vyombo vya dola weye unadhani vilipaswa viweje?
 

kupuuuuuzwaaaaaaa ni kubaya sana. Kuna uma sana
 
Obviously chama tawala na serikali yake ndio mwajiri wao. besides watatendaje fairness kwa watu wanaowadharau? wakati mwingine inabidi uonje joto la kiongozi dhaifu!
 
Kidogo umenisifia hapo hapo ukanigonga kirungu.
Mimi ni mfuasi wa Jf kwa muda sasa na kuna wakati natamani kujitoa kwani inaelekea kuna baadhi ya watu kwa maksudi wanalishushia hadhi jamvi letu.
Naamini ya kuwa mtu anayepost kitu hapa angalau ana uelewa wa computer na pia ana access na internet na kwa nchi yetu idadi hiyo ni ndogo hivyo basi washiriki ni class kidogo tofauti na most of the people.
Inasikitisha kuona watu wanavyomwaga ***** humu.
Tuvumilie nahisi ni transition na mwisho tutapata cream ya wachangiaji.
 
Unataka wavimwagie misifa ya kinafiki?
Acha ngonjera za kinafiki mkuu
 
Baba v kwani ni nani aliye kuwa wa kwanza kuomba muongozo kabla ya spika kula matapishi yake!

Unajua lukuvi amemuaokoa makinda kwenye laana!
Si huyu Hemed Rashid! yeye akainuka akasema "Mh.Spika...kwa busara yako naomba .................."
 
Wewe unayoandika haya ndo limbukeni,usioneshe ushabiki wa waziwazi kwa CCM,unajua nikueleweshe haitakaa itokee Tanzania ikaongozwa na CCM milele,lazima ujue kwamba watu wanataka mambadiliko,na mabadiliko yenyewe ni magumu,sio kitu rahisi,hili ni lazima ulielewe mimi sio mshabiki wa chama chochote na wala sina kadi ya chama chochote,ila nitapigia au kussuport chama ambacho kinamuelekeo wa kuleta mabadiliko,nchi za ulaya nadhani ungeweza kupata picha halisi ya jinsi watu wanavyofanya,kwahiyo kashfa hapa sio tija,ni kukubaliana na matokeo
 

Sasa unachotaka ni nini? su umeshaambiwa kila kitu kipo mahakamani. GAMBA MKUBWA WE.
 

hapo kwenye RED pananifanya nikuhisi na wewe ni mmoja wa watesaji wa dr. Ukimboka, manake hizo style za mateso ndio zile zile! shindwa ktk jina la wapinga CCM.
 
​niko kusini ngoja nikale samaki nchanga mie sionni cha maana hapo
 
Unashauri watumie mbinu gani wakati wananyanyapaliwa na vyombo vya dola kama polisi? Hebu tuambie njia nzuri ni ipi ili tuwashauri na ikishindikana basi tujue hawatufai..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…