Ukiwa kazini perform tafadhali hasa serikalini na kampuni za umma kuna watu hopeless sana wanaajiriwa wengine kwa vimemo vya wazazi waoHii inaonyesha ni roho mbaya kiasi gan watu wanashindwa kuelewa kuna watoto na ndugu wa ngapi walikua wanategemea kazi hyo hyo kwa kumfukuza kazi mtu 1 kumesabisha maumivu ya watu kiasi gani.
Mwenzako mkulima karibu huku majarubani, tukaange viwavi jeshi tule na ugali!Huo n uchawi kama wachawi mwingine tuu kuna siku na ww yatakukuta tuu
Benki ndizo zina block sasa una zoez kwenye shirika la kupunguza wafanyakazi unategemea benki iingie kichwa kichwa kukopesha mtu ambaye anytime aweza punguzwa?Upo sahihi mkuu mkurugenzi aliruhusu watu kuchukua mikopo ya miaka 5 baada ya mwaka 1 kuchukua akasimamisha kaz watu zaidi ya 70 akawasiliana na bank na kublock account hakuna ata mfanyakazi mmoja aliyechukua pesa yake bank mpaka leo!! Anavyosema twende mahakaman anajua hatuna pesa ya kuwalipa mawakili ns yy atashindaa
Kama alijua atampango wa kupunguza watu kwa nn aliruhusu watu kuchukua mikopo ??? Na form za mikopo alisain mkurugenzi kwamba tuchukue mikopo au unataka to disclose ujinga wake acha mambo yko wwBenki ndizo zina block sasa una zoez kwenye shirika la kupunguza wafanyakazi unategemea benki iingie kichwa kichwa kukopesha mtu ambaye anytime aweza punguzwa?
Hakuna mwajiri anadhamini mkopo yeye huandika tu kuwa wewe mwajiriwa wakeMbona tulipewa sasa mikopo nan alituzamin mikopo ya miaka 5-7???
Alisaini tu kuwa wewe ni mwajiriwa wake sio kuidhinisha mkopo!!! Benki ndio kuidhinisha!! Yeye sio mkopeshaji !! Wakopeshajiwatakuwa walushtuka baada ya kuona kuna zoezi la kupunguzana wakaona watapoteza pesa zao wakasimamisha japo fomu zenu zilisainiwa kuwa nyie wafanyakazi wa NIC!!Kama alijua atampango wa kupunguza watu kwa nn aliruhusu watu kuchukua mikopo ??? Na form za mikopo alisain mkurugenzi kwamba tuchukue mikopo au unataka to disclose ujinga wake acha mambo yko ww
Mtu mwenye mke na mtoto/watoto anajua unachopitia pindi unapositishwa ajira achana na hawa vijana wanaokaa kwa shemeji Goba wanakula ugali wa bure na jioni wanaenda gym.Upo sahihi mkuu mkurugenzi aliruhusu watu kuchukua mikopo ya miaka 5 baada ya mwaka 1 kuchukua akasimamisha kaz watu zaidi ya 70 akawasiliana na bank na kublock account hakuna ata mfanyakazi mmoja aliyechukua pesa yake bank mpaka leo!! Anavyosema twende mahakaman anajua hatuna pesa ya kuwalipa mawakili ns yy atashindaa