Osaka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 1,762
- 551
nashukuru mkuu sijakoma,imeandikwa mpende jirani yako kama nafsi yako,upendo ndio amri kuu,sasa nawewe kupita hapa maana yake una mchango mkubwa katika hili suala,tunahitaji mchango wako weka virungu chini.
Hapo kwenye red ndio mtihani wenyewe, ni wangapi wanatimiza hili? Mmmh labda wale 'Infidels'