Ungesema kwanza huko unyagoni hua wanafunzwa nini ili tusiofahamu tuweze kujibu swali lako.
We mtoto hujalala? Haya mambo ya kikubwa zaidi
Baadhi ya mikoa hapa Tanzania wanawacheza unyago watoto wao wa kike. Unyago unamsaidia nini mwanamke
katika kutunza familia yake? nasikia watu (wanaume) wakienda, kwa waliopitia elimu hiyo ni ngumu kutoka.
Baadhi ya mikoa hapa Tanzania wanawacheza unyago watoto wao wa kike. Unyago unamsaidia nini mwanamke
katika kutunza familia yake? nasikia watu (wanaume) wakienda, kwa waliopitia elimu hiyo ni ngumu kutoka.
Baadhi ya mikoa hapa Tanzania wanawacheza unyago watoto wao wa kike. Unyago unamsaidia nini mwanamke
katika kutunza familia yake? nasikia watu (wanaume) wakienda, kwa waliopitia elimu hiyo ni ngumu kutoka.
akisema wanachofunzwa huko si ndo atakuwa amejua na umuhimu wake.ivi ulipofundishwa kuoga si ndo uliambiwa umuhimu wa kuoga?Ungesema kwanza huko unyagoni hua wanafunzwa nini ili tusiofahamu tuweze kujibu swali lako.
Hapo kwenye nyekundu hao wanaume itakuwa wanapatikana kwenu...........
Hamna cha unyago wala jando ila akili kichwani, chochote kinachokutatiza refer google...........
kuna tofauti waliopitia wengi wanajua kukata kiuno,milio ya mahaba,kumjali mume maji ya kuoga,chakula,mavazi
Mbona mimi wa kwangu hajapitia huko lakini yuko fiti mno na sina kabisa mpango wa kutoka?
Baadhi ya mikoa hapa Tanzania wanawacheza unyago watoto wao wa kike. Unyago unamsaidia nini mwanamke
katika kutunza familia yake? nasikia watu (wanaume) wakienda, kwa waliopitia elimu hiyo ni ngumu kutoka.
jiulize kitchen part wanawake huwa wanafundishwa nini? ukishajua hilo basi unyago ni an advanced stage ya hiyo kitchen part inayofanyikaga kwa masaa tu