Wakuu naomba msaada kwa wenye ufahamu kuhusu ununuzi na uuzaji wa hisa.Nitashukuru kama mtaniwezesha kujua kampuni ambazo hisa zinanunulika na kuuzika kwa urahisi, kwa muda mfupi na kwa faida nzuri.
Ningependa kufahamu pia ni kwa jinsi gani naweza kufaidika kwa ununuzi wa vipande vya UMOJA FUND
Ningependa kufahamu pia ni kwa jinsi gani naweza kufaidika kwa ununuzi wa vipande vya UMOJA FUND