Wakuu, nna simu ya iphone 4, ilikuwa na ios ya 4.0.2 na juzi nilipokonect na laptop yangu ikaapdate na kuwa 4.2.1 since then imekwama na inataka original sim card only, naomba msaada kwa mtu anyejua ku-jail break and to activate iphone4
kaka pole ...hiyo kitu ngumu na solution yake haijatoka...yaani we sikilizia mziki tu hiyo iphone...simu ndo basi tena hapo