University of Dar es Salaaam: Mtambo wa kuzalisha wahujumu uchumi na mafisadi Tanzania

MTOA MADA UWEZO WAKO WA KIAKILI NDIPO ULIPOISHIA HAPA?,Tundu Lisu,Dr Mvungi,Ibrahim Lipumba,Joseph Sinde Warioba,Zitto Zuber Kabwe,Halima Mdee,Julius Mtatiro are all products of UDSM.
 
Kama uyo mtoa mada anafikiri udsm mchezo akasome nae kama hajadico semister ya kwanza tuu
Eistein alifeli shule na alifeli zaidi hesabu ila alikuja na formula ambyo maprof na wahadhiri wengine walikuja itumia km mtaala.Acha ujinga kwamba kudesco ni lazima uwe mjinga.Unaweza kuwa unajua kuliko wanaokufundisha na kukusanya hizo notice.Pia ukawa ni mtu unaomaini ktk usahihi wa unachokijua kuliko kupotez amuda kujua mwalimu gani anataka jibu gani?Hiyo ndio soma yenu ya watz kuwa ukiandika hiki unakosa maxi.Ndio maana mitihani mingi haina majibu ila mwanafunzi anachagua jibu fulani kwa vile ana taarifa za nje ya paper kuwa mwalimu alikuwa anataka kile.KWA TAARIFA YAKO UDSM NA MITIHANI YA NECTA WANAFUNZI HUFAULI KWA KUWA WANAJUA PAPER HII SWALI HILI LILIWAHI TOKA MWAKA FULANI KWA HIYO HILI NDIO JIBU.BILA KUJALI KUWA AMA WACHAPISHANI AU ALIYEKUSANYA MASWALI KAKOSEA AU KAAMUA WEKA MTEGO KWA KUBADILI SWALI.Most of the time unakuta aliyekusanya maswali(sio kutunga hawana uwezo wa kutunga maswali sahihi) au hata mchapishaji wamekosea na bado wanasisitiza wanafunzi walipaswa jua kuwa limekosewa waweke sahihi...bila kujua mwanafunzi wa nje anaweza dhani kuwa ni mtego au jibu kuwa yote si sahihi km ni multiple choice.
 
Naona ni hio ya waafrica kuvua unyani
na hilo ndilo linatuangusha.Tupo km kasuku wazuri sana ktk kuiga tamaduni za watu,misemo ya watu, huruma za watu,kujali watu na haki za binadamu, kutumia misamiati inayotamba duniani,kunadika paper zilizojaa mitazamo ya kisasa.Kumbe vitu vyote havipo ktk akili wala mioyo yetu ,wala maadili yetu .Matokeo yake ni km Mwakyembe na Shivji,viabu vyote vilivyowafikisha hapo walinadika vitu wasivyoaviamini wala kuvijua na hivyo kutovikumbuka ktk maisha yao yaliyofikishwa hapo na umaarufu wa hayo machapisho.
 
ndio chuo pekee kinachotoa wapuuzi wanaoamini kila mpinzani anatumika km vibaraka ila CCM tuu ndio haitumiki km vibaraka ktk kila rasilimali yetu,na mahusiano ya nchi jirani.
 
ndio chuo pekee kinachotoa wapuuzi wanaoamini kila mpinzani anatumika km vibaraka ila CCM tuu ndio haitumiki km vibaraka ktk kila rasilimali yetu,na mahusiano ya nchi jirani.

We jamaa unaongea upuuzi mtupu...mbona uko very narrow minded,of all the topics you can think of raising..umechagua hii nakuonea huruma Sana.uko mjinga sana
 
We jamaa unaongea upuuzi mtupu...mbona uko very narrow minded,of all the topics you can think of raising..umechagua hii nakuonea huruma Sana.uko mjinga sana
kima kweli wewe.hujui hata kutengeneza sentence logically.Hivi unategemea wewe unaweza saidia hili taifa?Unajipa tuu conclusion critical ukategemea watu wenye akili utawapa zidumu fikra za mwenyekiti wakubali .Hiyo si topic kenge wewe,huo ni mchango ktk topic.Km imeuma sana vumilia km hujaelewa omba msaada ila usitie shombo hapa.VUA UNYANI BASI NA USIUVAE TENA.
 
Utuombe radhi si kila mmoja wetu yuko hivyo. Na isitoshe si wahadhiri wote niwakiume!
Hao wa Kike nao walifika hapo kwa kupigwa kitu au nafasi ya upendeleo kwa wanawake ambayo ili wapendelewe lazima washikwe mkono na mtu anayependa nyeti zao.
 
Wengine wana wivu kwasababu miaka Ya 2000 kurudi nyuma UDSM was the only university katika nchi hii kutoa elimu Ya chuo kikuu na ilikuwa kazi kubwa kupata chuo. Sasa wengine mulishindwa kupata nafasi pale Na sasa mnamimina shutuma kwa UDSM kwasababu Ya wivu wa kukosa nafasi.
Vua unyani basi ukishaelimika.Mipuuzi ya UD yote inaposhindwa hoja inadai kuwa kwa vile wengine wamekosa.Hat mijizi utakuta inasimama hadharani na kusema anayelalalimika ni kwavile anaona donge kwa kukosa nafasi ya kuiba.Hizo ndizo akili zenu kenge nyie.Uthibitisho mwingine kuwa tunachosema hapa ni kweli.UDSM hata mnaowaita waadilifu hawajui maana ya huo uadilifu..ila wanashikiliwa na matukio tuu.Its a matter of time and one new paramater..yanapanda jukwaani kupiga kelele zilezile kuwa wanaonewa wivu,sijui ni wapinzani wao kisiasa.
 
Wivu tu unawasumbua,acheni waprofesa wazalendo wafanye kazi kulikomboa Taifa.
 
lakini bado huwezi kuufanisha UDSM na ule mtambo wa pale Dodoma wa kuzalisha vilaza!
 
lakini bado huwezi kuufanisha UDSM na ule mtambo wa pale Dodoma wa kuzalisha vilaza!
Walioset DODOMA na Vyuo Vingine ili Viwe Unversities ni UDSM , vingine vilikaa chini yao kwa muda.Kazi ya kichaa ni ni mojawapo ya CV ya huyo kichaa.
 
Katika makosa makubwa ambayo Nyerere alifanya ilikuwa kuanzisha hiki Chuo cha kifisadi. Just imagine wahitimu wa UDSM wameshindwa kubuni hata kutengeneza kijiko cha kulia ubwabwa, au kijiti cha kutokea nyama kwenye meno, lakini wamekuwa mstari wa mbele kupora nchi hii. Andrew Chenge, Edward Lowassa, Jakaya Kikwete, Samuel Sitta, Harrison Mwakyembe, ni baadhi ya mafisadi product ya hicho Chuo.
Yohana mvinyo umemsahau au unajali itifaki?
 
Back
Top Bottom