Universities should work with local communities

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
Hello JF,

Mimi sio Msomi ila nawaheshimu hasa watu waliosoma ..its not easy!...

Leo nimeona tuzungumze elimu yetu kutoka only theoretical based mpaka kujumuisha practical....

Mimi huwa nawaza moja ya njia ya kufanya hivyo ni universities kufanya kazi na local communities...

Universities ziwasaidie jamii zinazowazunguka,kutatua maswala yao....

Mimi nilinotice mahali watu wanapewa Zaidi course work na mitihani ni michache,,kwenye mazingira yanayomzunguka

nadhani tunge adopt huu mfumo ingekua vizuri Zaidi,

Tunashirikianaje?

Jamii inapresent swala ambalo ni limekua gumu kulitatua..labda uhaba wa walimu wa science(Mfano tu)

Unawapa hili tatizo wanafunzi ambao may be wamesoma theories za movement za watu ..then wana apply theories in real life setting na kuja na majibu ya hili tatizo…

Mfano mimi kabla sijasepa,nilikua presented na swala la jinsi ya kutumia invehicle systems kama mobile phone inavyosababisha ajali..(Mfano tu)

Moja utakua umeleta solution kwa jamii inayohusika,

Second utakua unamfundisha na kumuandaa kijana ku explore his/her opportunities...

tena hizi course work/project/independent learning iwe mwaka wa mwisho…wanafunzi wawe encourage to stimulate their minds kuanzia mwaka wa kwanza...

Karibuni tujadili elimu yetu,sio kila siku kulaumu, njoeni LOL
 
Hello JF,

Mimi sio Msomi ila nawaheshimu hasa watu waliosoma ..its not easy!...

Leo nimeona tuzungumze elimu yetu kutoka only theoretical based mpaka kujumuisha practical....

Mimi huwa nawaza moja ya njia ya kufanya hivyo ni universities kufanya kazi na local communities...

Universities ziwasaidie jamii zinazowazunguka,kutatua maswala yao....

Mimi nilinotice mahali watu wanapewa Zaidi course work na mitihani ni michache,,

nadhani tunge adopt huu mfumo ingekua vizuri Zaidi,

Tunashirikianaje?

Jamii inapresent swala ambalo ni limekua gumu kulitatua..labda uhaba wa walimu wa science(Mfano tu)

Unawapa hili tatizo wanafunzi ambao may be wamesoma theories za movement za watu ..then wana apply theories in real setting na kuja na majibu ya hili tatizo…

Mfano mimi kabla sijasepa,nilikua presented na swala la jinsi ya kutumia invehicle systems kama mobile phone inavyosababisha ajali..(Mfano tu)

Moja utakua umeleta solution kwa jamii inayohusika,

Second utakua unamfundisha na kumuandaa kijana ku explore his/her opportunities...

tena hizi course work/project/independent learning iwe mwaka wa mwisho…wanafunzi wawe encourage to stimulate their minds kuanzia mwaka wa kwanza...

Karibuni tujadili elimu yetu,sio kila siku kulaumu, njoeni LOL
Ila mkuuu umetudanganya, asiye soma anajulia wapi ka kingereza!! Alaf course work system umeijulia wapi hujasoma rafiki??


Any way niende moja kwa moja kwenye mada, kwakweli hili swala la kubadilisha mtaala wa elimu hapa nchini Walio wengi tumekwisha ona uhitaji wake, Ili kua na Tanzania yenye uchumi uliotukuka tulitakiwa kufanya evaluation ndani ya educational system from theoretical bases to practical bases, nikiwa namanisha kama ni sector ya kiwanda basi sido ipeleke wanafunzi wengi sana katika practical learning ili kusaidia uwepo wa home technological innovativeness yaan hapa swala la ajira litakua limepungua, lakin pia hili swala linaeza kuwa achieved kupitia the aplication of Guild system, yaan wenye ujuzi wanapelekwa sehem flan alaf wanaambiwa watengeneze kitu chochote/ wabuni kitu chochote na hapa innovation itakua imewezwa,

Kilimo sasa katika huu upande wanafunzi wasipewe theory wapewe practicals kama SUA wanavyofanya, i.e ktk ufugaji, uunzi wa vifaa mbalimbali vya kilimo.
Tofauti na hapo tutasubiri sana, yaan elimu yetu ya sasa itazidiwa na Indigenous education system ilokuepo kwa mababu zetu iwapo haitobadilishwa kwa baadh ya sehem zake.

Mambo ni meeeeengi sana,
 
Ila mkuuu umetudanganya, asiye soma anajulia wapi ka kingereza!! Alaf course work system umeijulia wapi hujasoma rafiki??


Any way niende moja kwa moja kwenye mada, kwakweli hili swala la kubadilisha mtaala wa elimu hapa nchini Walio wengi tumekwisha ona uhitaji wake, Ili kua na Tanzania yenye uchumi uliotukuka tulitakiwa kufanya evaluation ndani ya educational system from theoretical bases to practical bases, nikiwa namanisha kama ni sector ya kiwanda basi sido ipeleke wanafunzi wengi sana katika practical learning ili kusaidia uwepo wa home technological innovativeness yaan hapa swala la ajira litakua limepungua, lakin pia hili swala linaeza kuwa achieved kupitia the aplication of Guild system, yaan wenye ujuzi wanapelekwa sehem flan alaf wanaambiwa watengeneze kitu chochote/ wabuni kitu chochote na hapa innovation itakua imewezwa,

Kilimo sasa katika huu upande wanafunzi wasipewe theory wapewe practicals kama SUA wanavyofanya, i.e ktk ufugaji, uunzi wa vifaa mbalimbali vya kilimo.
Tofauti na hapo tutasubiri sana, yaan elimu yetu ya sasa itazidiwa na Indigenous education system ilokuepo kwa mababu zetu iwapo haitobadilishwa kwa baadh ya sehem zake.

Mambo ni meeeeengi sana,

Mambo ni meeeeeeeeengi sana,LOL

mie nimeimba sana huku tatizo la ajira litaisha na relevant education,

Information technology,Biashara na Kilimo,hivi vitatu kama wanafunzi watachagizwa kufanya independent learning wakaja na solutions ,...tatizo la ajira bye bye.

How?

Aliyesoma mpaka chuoni,akitoka hapo anajua afanye nini kama ni kujiajiri,am sure hatakua peke yake..atamuajiri na mwingine na mwingine...

Lazima mtu aliyesoma mpaka chuo aheshimike atii...

sio kama sasa hivi wanadharaulika sana...

Anatoka chuo hajui afanye nini na theories zake...anaishia kuwa frustrated mtaani...

Hapana, something must be done
 
Mambo ni meeeeeeeeengi sana,LOL

mie nimeimba sana huku tatizo la ajira litaisha na relevant education,

Information technology,Biashara na Kilimo,hivi vitatu kama wanafunzi watachagizwa kufanya independent learning wakaja na solutions ,...tatizo la ajira bye bye.

How?

Aliyesoma mpaka chuoni,akitoka hapo anajua afanye nini kama ni kujiajiri,am sure hatakua peke yake..atamuajiri na mwingine na mwingine...

Lazima mtu aliyesoma mpaka chuo aheshimike atii...

sio kama sasa hivi wanadharaulika sana...

Anatoka chuo hajui afanye nini na theories zake...anaishia kuwa frustrated mtaani...

Hapana, something must be done
Huu ni ukweli usio pingika nduguyangu tunatakiwa kuendana na mabadiliko ya kidunia, hatuez kua na uchumi wakati, uchumi wa viwanda na wakati mda huo huo tuna elimu ya kijinga namna hii, mtu unaandaliwa theoretically alaf baada ya Ku graduate unaambiwa sasa kajiajili, unaambiwa tena utalipa pesa ya HESLB uliyo kopeshwa,,, yaan nguvu nyingi sana na laslimali pesa nyingi sana zinawekeza ku fund aina hii ya elim.

Mfano, kwa wale walio soma ualim, chuoni unafundishwa/ unapewa elimu ya ualim
Kama vile pedagogy, curriculum, teena inaenda mbali zaid hadi una design, alaf tena unapewa elim ya Psychology kwa vip uweze kumanage wanafunzi, etc.... Unafundishwa Educational foundations,,, haya yote mi siyapingi lakin kwakweli nnachokishangaa nii kuendelea kukomaa kwa mtu alie pewa elimu hii eti aende kujiajili baada ya masomo, ni vizuri sawa lakin je, educational foundations, pedagogy in teachers education, curriculum etc hivi vyote ataviapply wapi?? Je ataviapply kwenye kilimo kama amejiajiri kwenye kilimo??

Wimbi la umaskini halitokaa likaisha kwa mwendo huuu, wengiwetu tunatoka familia za kimaskini mno, sasa je tutazikomboa vip kwa staili hii??
 
Vijana wa nchi hii ndio wanapaswa kusukuma mabadiliko ya maisha yao ya baadaye. Ndio wanapaswa kudai curriculum na practical training zitakasowasaidia kujiajiri baada ya kumaliza chuo. Hao viongozi waliopo wao most of them wanajali tu maslahi yao- they couldnt care less vijana wanaomaliza chuo wanaishia kuwaje. LAZIMA mfumo wa elimu UBADILISHWE KABISA. But the agitators for that change must be the youth, those in higher learning institutions. Samahani nimeweka lugha ngeni ndani ya haya maelezo maana yanawalenga zaidi wasomi wetu. Ujerumani wanaoenda vyuo vikuu ni watu ambao tayari wameshapita shule za ufundi. Kwa hiyo asipofaulu kuingia chuoni tayari ana ujuzi wa kazi fulani. Uingereza kwenye fani za udaktari, uhasibu na sheria, ili mtu ajinasibishe kwa ni mtaalamu katika fani yake ni lazima awe ANASOMA WAKATI ANAFANYA KAZI HIYO KWA VITENDO (internship) Ni juu yenu vijana kujipanga na kutoa mapendekezo ya kipi mnachokitaka katika elimu mnayopata
 
"pesa sio kila kitu"- kauli hii iseme ukishapata pesa

"Elimu siyo relevant bali ni irrelevant"- kauli hii iseme ukisha ipitia elimu yetu, all are self defeating,, very controversial.
 
NADHANI HIZO SABABU NDIZO ZILIZO WASUKUMA WALIMU WOTE WA MASOMO YA SAYANSI KUSAJILI CHAMA ,ILI BASI KWA KAULI ZA CHAMA KUPITIA WADAU KAMA NYIE,MAWAZO HAYA YAWEZE KUFIKISHWA PAHALA SAHIHI BADALA YA KUISHIA JF.
KIMSINGI NIWAPONGEZE WOTE KWA FIKRA ZENU PEVU,NA MADAME REBECA KUTULETEA MJADALA HUU MUHIMU.
KIKUBWA TUSHIRIKIANE NA SCIENCE TEACHERS ASSOCIATION OF TANZANIA (STAT) ILI JAMII INUFAIKE KUPITIA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZAO.
TUWASILIANE,
0783059220
STAT-CHAIRMAN
THANKS.
 
NADHANI HIZO SABABU NDIZO ZILIZO WASUKUMA WALIMU WOTE WA MASOMO YA SAYANSI KUSAJILI CHAMA ,ILI BASI KWA KAULI ZA CHAMA KUPITIA WADAU KAMA NYIE,MAWAZO HAYA YAWEZE KUFIKISHWA PAHALA SAHIHI BADALA YA KUISHIA JF.
KIMSINGI NIWAPONGEZE WOTE KWA FIKRA ZENU PEVU,NA MADAME REBECA KUTULETEA MJADALA HUU MUHIMU.
KIKUBWA TUSHIRIKIANE NA SCIENCE TEACHERS ASSOCIATION OF TANZANIA (STAT) ILI JAMII INUFAIKE KUPITIA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZAO.
TUWASILIANE,
0783059220
STAT-CHAIRMAN
THANKS.
Sasa mkuu hiko chamachenu kimeshatatua tatizo lipi kwanza ambalo baada ya kufanya reseach lilifanyiwa analysis, mkali evaluate na mwishoe Implementation yake ilikuaje!!?

Ili angalau kama kuna mwenye idea ilotukuka aweze kuendelea mlipo ishia labda
 
Vijana wa nchi hii ndio wanapaswa kusukuma mabadiliko ya maisha yao ya baadaye. Ndio wanapaswa kudai curriculum na practical training zitakasowasaidia kujiajiri baada ya kumaliza chuo. Hao viongozi waliopo wao most of them wanajali tu maslahi yao- they couldnt care less vijana wanaomaliza chuo wanaishia kuwaje. LAZIMA mfumo wa elimu UBADILISHWE KABISA. But the agitators for that change must be the youth, those in higher learning institutions. Samahani nimeweka lugha ngeni ndani ya haya maelezo maana yanawalenga zaidi wasomi wetu. Ujerumani wanaoenda vyuo vikuu ni watu ambao tayari wameshapita shule za ufundi. Kwa hiyo asipofaulu kuingia chuoni tayari ana ujuzi wa kazi fulani. Uingereza kwenye fani za udaktari, uhasibu na sheria, ili mtu ajinasibishe kwa ni mtaalamu katika fani yake ni lazima awe ANASOMA WAKATI ANAFANYA KAZI HIYO KWA VITENDO (internship) Ni juu yenu vijana kujipanga na kutoa mapendekezo ya kipi mnachokitaka katika elimu mnayopata
All the way, everything is possible, now how can the youth leads to educational changes wakati wazee walio wengi ndo wameshikilia mpini?? "Conservatism"

Inawezekana, lakin kwakweliiii nahisi mpaka yatukute ndo tutaelewa somo,


elimu inayo endana na mazingira yetu halisia ndo nguzo kuu ya maendeleo ndani ya jamii husika, tofauti na hapo tutaishia kununua kilakitu kama vile technology tena kwa bei ghali sana, tutaishia ku kopa saana maitaifa yalo endelea, tutaendelea kubezwa sana na mataifa nyonyaji duniani.
 
Vijana wa nchi hii ndio wanapaswa kusukuma mabadiliko ya maisha yao ya baadaye. Ndio wanapaswa kudai curriculum na practical training zitakasowasaidia kujiajiri baada ya kumaliza chuo. Hao viongozi waliopo wao most of them wanajali tu maslahi yao- they couldnt care less vijana wanaomaliza chuo wanaishia kuwaje. LAZIMA mfumo wa elimu UBADILISHWE KABISA. But the agitators for that change must be the youth, those in higher learning institutions. Samahani nimeweka lugha ngeni ndani ya haya maelezo maana yanawalenga zaidi wasomi wetu. Ujerumani wanaoenda vyuo vikuu ni watu ambao tayari wameshapita shule za ufundi. Kwa hiyo asipofaulu kuingia chuoni tayari ana ujuzi wa kazi fulani. Uingereza kwenye fani za udaktari, uhasibu na sheria, ili mtu ajinasibishe kwa ni mtaalamu katika fani yake ni lazima awe ANASOMA WAKATI ANAFANYA KAZI HIYO KWA VITENDO (internship) Ni juu yenu vijana kujipanga na kutoa mapendekezo ya kipi mnachokitaka katika elimu mnayopata

Hapo kwenye bold nilitaka kusema nayo nikasahau..lol...ni kwamba Soko la ajira ndio lina dictate kipi kifundishwe...yes,vijana walioko vyuoni mwisho wa term wapewe nafasi ya ku rate modules,waulizwe kama ilikua informative,mapendekezo kama yapo..nk..Elimu yetu iwe ya feed back wanafunzi na wakufunzi..wawe kama kioo,wana akisiana...sina uhakika wamejengewa system ya kufanya hivi????
 
Mambo ni meeeeeeeeengi sana,LOL

mie nimeimba sana huku tatizo la ajira litaisha na relevant education,

Information technology,Biashara na Kilimo,hivi vitatu kama wanafunzi watachagizwa kufanya independent learning wakaja na solutions ,...tatizo la ajira bye bye.

How?

Aliyesoma mpaka chuoni,akitoka hapo anajua afanye nini kama ni kujiajiri,am sure hatakua peke yake..atamuajiri na mwingine na mwingine...

Lazima mtu aliyesoma mpaka chuo aheshimike atii...

sio kama sasa hivi wanadharaulika sana...

Anatoka chuo hajui afanye nini na theories zake...anaishia kuwa frustrated mtaani...

Hapana, something must be done
Nadharia za kilevi. Tatizo la ajira haliishi hadi kiama. Labda lipungue kiasi na wa kulipunguza mtu binafsi ukisubir serikali waweza kupata stroke.
 
d
Nadharia za kilevi. Tatizo last ajira haliishi hadi kiama. Lands lipungue kiasi na was kulipunguza mtu binafsi ukisubir serikali waweza kupata stroke

Hakuna sehemu tatizo la ajira hakuna...ila kukiwa na massive unemployment tatizo linatafutwa stratergies zinawekwa kupunguza tatizo.. UTAJIJU!!!
 
Hakuna sehemu tatizo la ajira hakuna...ila kukiwa na massive unemployment tatizo linatafutwa stratergies zinawekwa kupunguza tatizo.. UTAJIJU!!!
Kwa sera zipi ndugu Rebecca83....SUNNNA JKKKKKT Wanakula tenda zote....TTCL, Air Tanzania, TANROADS wanabana mpaka pumzi ya mwisho
 
Hakuna sehemu tatizo la ajira hakuna...ila kukiwa na massive unemployment tatizo linatafutwa stratergies zinawekwa kupunguza tatizo.. UTAJIJU!!!
Ila Rebecca unaonekana we mkali mkali sana, japo mada zako za kisomi somi tu.
 
Ila Rebecca unaonekana we mkali mkali sana, japo mada zako za kisomi somi tu.

Mkuu Eli picha uliyo nayo kuhusu mie haiendani na ukweli..lol.. mimi ni mpole sana..napigaga hata deki-Magufuli :D:D;)
 
Back
Top Bottom