Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Habari zenu wakubwa,ebana jana ucku nimepokea txt kutoka kwa mmanzi wangu wa zaman yenye hayo maneno hapo juu,me nkawa nimekausha tu niusome mchezo kwanza,ikapita ka nusu saa,akanitumia tena txt nyngne akiniomba samahan,kwamba alikosea namba coz kuna mkaka anamsumbua na amemjbu hvo kiukali ili asiendelee kumsumbua,me kwa kwel cjamjbu chochote.sasa wakuu,ebu tuambiane kiutu uzima,ni kweli kwamba huyu mmanzi alikua kakosea namba au kuna namna nyingne ana maanisha hapo?