Hapo Alikupiga “Timing”.Hiki kichwa Cha kchini hakina ubongo,katikati ya mechi mtu kachomoa kaweka mtarori halafu anaikatikia,nikajua ufundi umeongozeka loo kumbe nishapatikana
Inasikitisha sanaYaani hata jela hawajaenda tayari wameshaanza kulawitiana!!
Ndiyo wafanyie mahabusu?Ahhhh, kwa huko Unguja mbona ni mambo ya kawaida sana
Hawakujitenga , walienda kwenye konaHiyo selo ina ukubwa gani mpaka hao mabaradhuli wajitenge na kufanya ubaradhuli huku mahabusu wenzao wapo mulemule?
Mambo ya Zenji yasiletwe huku kwetu bara.Vijana wawili ambao walikuwa wameshikiliwa kwenye kituo cha polisi mjini Unguja wamedaiwa kujitenga na wenzao ndani ya mahabusu hiyo na kujificha kwenye kona kisha kuanza vitendo vya kulawitiana huku wenzao wakishuhudia kwenye mahabusu hiyo.
Mwananchi
Watu wasiseme kwamba eti haya mambo yapo Zanzibar, Mombasa, Lamu sijui na Tanga, hapana kwa ulimwengu huu tulionao wa kidigitali kwa miji mikubwa yapo kila mahali, kwa Wakristo, Waislamu, kwa wenye imani za Jadi hata wenye imani za fremanson na matawi yake,Hayo yapo Tanzania nzima hivi sasa. Tuliona Mwakyembe akitangaza NGO zinazoongoza kwa kuatawanya hayo mambo. Hayasemeki tu lakini yapo, tena sana.
Wizra ya maadili inayoongozwa kwa sasa na Dkt. Gwajima D imefeli kabisa na huyo dada tukimpa ushauri anasema "chuki binafsi".
MmhMambo ya Pwani dume zima shanga kiunoni.
Solo Thang
Faiza Foxy,Vijana wawili ambao walikuwa wameshikiliwa kwenye kituo cha polisi mjini Unguja wamedaiwa kujitenga na wenzao ndani ya mahabusu hiyo na kujificha kwenye kona kisha kuanza vitendo vya kulawitiana huku wenzao wakishuhudia kwenye mahabusu hiyo.
Mwananchi
Mbuzi kafia kwa muuza 😉😉😉Vijana wawili ambao walikuwa wameshikiliwa kwenye kituo cha polisi mjini Unguja wamedaiwa kujitenga na wenzao ndani ya mahabusu hiyo na kujificha kwenye kona kisha kuanza vitendo vya kulawitiana huku wenzao wakishuhudia kwenye mahabusu hiyo.