Ah ndugu niliokutana nao mimi ni zaidi.ok, watoto wa mujini si ndio wazuri hao ?
Tatizo lenu kaka zangu kina "yego mura unu" ni misimamo isiyo na mantiki somtyms, sasa unafkiri mwanamke wa kichaga ukimletea misimamo yenu iyo utampata? Nyie wanawaweza walewale wanawake zenu na wakerewe..Hivi dunia hii Kuna wanaume wanaojua kupenda na kujali kama sisi wajita
Kiukweli nimetokea kukupenda hasa nikioanisha na coment zako humu JF,napenda tuwasiliane kiukweli na sio kiutani utani kama ilivyokuwa hapo awali,je umenielewa we binti?,i am serious na ni handsome wa kiukweli na pia MJASIRIAMALI.,njoo PM basii hata ki bahati mbaya tuuu kama vile umekosea njia au vipi?,na hamna mtu atajua sababu itakua siri yetu wawili tuu,na hata mtoto au watoto wako watakua wangu mimi nitalea na kusomesha.Nimekaa hapa nakausha mafuta na nyagi .. Leo nimekauka light haitembei
We nae unadengua saana,sasa sijui ni nini? labda una sura mbaya ambayo inaweza kusimamisha SAA.Ah ndugu niliokutana nao mimi ni zaidi.
HahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAh ndugu niliokutana nao mimi ni zaidi.
acha utani basi.Ningependa kuolewa na msukuma.
Utanijeacha utani basi.
Et msukumaUtanije
Kuna shida?Et msukuma
Kuna shida?Et msukuma
Unaanza kupandikiza ukabila bila hata kujua. Ukabila uanza kiutani utani kama thread yako.Nimeona nyuzi nyingi zikijadili wanawake kwa kuangalia makabila yao lakini wanaume tumekuwa tukikwepwa hasa linapokuja swala la mahusino. Nataka nipate "clue" huenda nikachangamkia mwanamke wa kabila fulani iwapo wanawake wataonekana kukubali kabila langu kwenye swala la ndoa na mahusiano.
Wewe mwanamke ni wanaume wa kabila gani unawakubali na ungependa mmoja kutoka kabila hilo akuoe? Na ni mwanaume wa kabila gani, hata kama awe vipi na akuahidi nini huwezi kumkubali? Na sababu ni zipi? Toa sababu moja tu kwa kila jibu.
Hebu kuwa mwaminifu katika majibu yako ili tupate ranking ya ukweli kuhusiana na kukubalika na kutokukubalika wanaume kwa wanawake hapa nchini.
NB: mwanamke wa kumi kutaja kuwa anakubali kabila langu, nitakomaa naye mpaka nimuoe, hata kama yukoje.
Tayari ninaeHapana shida,
Ila mimi msukuma njoo nikuoe.
Gere kwenye ukabila? K ? mbona haueleweki na hauna hoja? Mwanaume tangu lini akajidai ukabila ni ushamba unakusumbua? kuangukia kwa mwanamke yeyote? sasa mwanamke si mwanamke? kwaio utakapofikia ndo umeangukia dude...? mbona hueleweki? mwanamke yeyote si yeyote...??Mkuu usione gere kutokutajwa, ukabila kwenye kuoa! Kuna makabila hata kama k yako ina almasi sioi! Wewe jifanye wa mjini unaangukia tu mwanamke yeyote.
Ungependa kuolewa na mwanaume wa kabila gani?
Usibadili mawazo...... usije juta baadaeNilipenda sana wanaume wa kichagga lakini nimebadili mawazo