Ungelikuwa wewe Ungelifanya nini?

Ungelikuwa wewe Ungelifanya nini?

Abby-Sally

Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
77
Reaction score
10
Kuna jamaa nilikuwa namuheshimu sana kama kaka,nilifahamiana nae toka 2009 huko Dodoma akitumikia moja ya Idara ya usalama nilishtushwa na haiba na muonekano wake,tuliendelea kuwasiliana na kumuomba ushauri ktk maswala mbalimbali hata ya jinsi kupata ajira nilianza kupata wasiwasi siku zilivyozidi kwenda kwa aina mawasiliano yake mf"vip wangu?I mic u sana Jana nilikuwa na wageni,na jion nikasahau kukutafuta" Nilipata hofu how come unamtumia mwanaume mwenzi msg kama hii? Nikampotezea kwa muda kidogo but leo from nowhere akanitext some of his sms
1."hee,ninahamu na wewe bhana ujee"
2."ndio,njoo bhana ulale,unakuja jion asubui unarudi kuendelea na mishe zako,njoo bhana upate raha kidogo"
3."We acha 2 kwel ukipata nafasi itumie,njoo upate Mambo ya pwani"
4."So,utakuja?"
5."ok.du so plz"
Nimesikitishwa sana kwa heshima niliyokuwa nampa mshkaji,nimekosa usingizi kuwaza juu ya haya ndugu zanguni jamaa Ana kazi nzuri kwani tatizo ni nini??Eee Mungu Tuepushie haya mabalaa na mapepo machafu sisi na vizazi vyetu!
 
Delete Namba Yake.Then Warn Him Very Sharply Asithubutu Kuendelea Kuzungumza Kinyaa.Mm Ningefanya Hvyo.
 
Mpe live kuwa we hupendi hayo mambo ya kishetwani na kuwa aache kabisa kuwasiliana nawe pia Muoneshe jinsi ulivyo sikitishwa kwa yeye kuwa na tabia chafu kiasi hicho
 
Nenda na kiongozi wa dini wa Imani uliyonayo Muombeeni maana ni PEPO hilo
 
Hivi haya mambo nayasikiaga kumbe ni kweli yapo?
Inakuaje wanaume tunausaliti uanaume wetu jamani!!
Aisee yaani sio mimi niliyetumiwa sms ila nasikia hasiraa
 
Mpe live kuwa we hupendi hayo mambo ya kishetwani na kuwa aache kabisa kuwasiliana nawe pia Muoneshe jinsi ulivyo sikitishwa kwa yeye kuwa na tabia chafu kiasi hicho

Uso umeumbwa na haya lakini ktk no way out nitaufanyia kaz ushaur ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom