...Ungekuwa wewe ungefanyeje

Unamkewako wa ndoa unaishi naye vizuri tu ndani ya nyumba na anakutimizia haja zako zote na unamwamin sana naye pia anakuamin lakin kwa upande wako unamwanamke mwingine nje ya ndoa na hupendi mkeo wala watu wa karibu wajue hilo... Siku moja mnapanga kukutana na huyo kimada wako kula raha dunian na mnakubaliana kukutana gesti iliyoko nje kidogo na mji, so unabuni safari ya ghafla na unamuaga mkeo kuwa umepata dharura ya kikazi kwa mda wa ck 2 unaondoka na kumuacha mkeo....kumbe huku nyuma alikuwa na mahusiano ya siri sana na mwanaume mwingine bila ya wewe kujua so nae akaona hiyo ndo chansi ya kutumia wakawasiliana na mtu wake wakutane na wakakubaliana kutoka nje ya mji(gest)
....so we mwanaume umekutana na hawara yako mmeingia gest na mhudumu wa gest kawakabiz chumba then kilichofwata mkafurahia penzi motomoto, inafika wakati wakutoka chumbani ukiwa we na hawara yako ghafla pasipo kutarajia unamwona wife wako naye anatoka chumba opposite na kile ulichotoka akiwa na mwanaume wake mnakutanisha macho kumbuka kabla ya hapo hakuna aliyewahi kumhic mwenzake kama anamahusiano nje ya ndoa. Je kama wewe mwanaume/mwanamke unafanya nn kwa wakati huo, na utachukua reaction ip
karibun kwa maon yen

Hii ni ngumu kumeza mkuu!
 
hapo ni kimya kimya,then home tutakuwa tunasomeana ramani nani aanze kuleta hizo story manaake wote ni majambazi tu..ni ishu
 
mnakomaa na ndoa tu wote mkiwa na nyuso za mbuzi, no retreat no surrender...
 
mwanaume anateleza lkn mwanake ni msaliti na mhuni ndivo tunavowahukumu-
aisee ingekuwa mm fasta talaka 7 na kila kitu namwachia naenda kuanza life upya
 
Hapo ni sawa sababu tabia zenu zumefanana.
hivi vitu vinatokea sana hasa town ndogo ndogo
ambapo guest za kuaminika ni chache.
 
Mnawaacha wanawake waka grind na nyinyi mnakwenda kuji cameroon CBC.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom