Ungekuwa wewe Ungefanyaje?

kumbe hata vidume tuna shahada za chupi!
 
kumbe hata vidume tuna shahada za chupi!
 
ulimpa alichotaka lkn naomba unitajie jina chuo namimi nijiunge ili anipende najua yupo ktk kipindi kigumu
 
Chuo gani au Bukoba university? Mbona kiasi cha kuuliziwa tu na mwalimu wenzako wakakwambia umchukue mazima?
 
Yeah ila niliangalia mazingira na usalama wangu wa elimu. Pia nilikuja kumpenda ile mbaya kwa sifa zake na nina historia ambayo haifutiki kwake. Alikuwa na kila sifa ya kuitwa mke mwema
Kama alikuwa nakila sifa njema yawezekana angekuwa mke mwema sasa kwanini usingemuoa kabisa naakawa furaha yamoyo wako?
Kwa maana umesema mwenyewe kuwa ulimkubali kwa kuhofia kufelishwa!!!
 
Kama alikuwa nakila sifa njema yawezekana angekuwa mke mwema sasa kwanini usingemuoa kabisa naakawa furaha yamoyo wako?
Usiombe nikusimulie ninavyojutia kumpiga chini leo. Ila mazingira pia yalichangia
 
Yeah ila niliangalia mazingira na usalama wangu wa elimu. Pia nilikuja kumpenda ile mbaya kwa sifa zake na nina historia ambayo haifutiki kwake. Alikuwa na kila sifa ya kuitwa mke mwema
sasa mbona ulimpiga chini kama sifa zote anazo
 
sex partner......safiiiii.....hakua chaguo lako....ila tunakulaga....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…