The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hivi siku hizi wanawake hawatongozi???
Kwa kawaida mwanamke ndie anayemuanza mwanaume. Mwanaume hatamwa-approach mwanamke kama amemgeuzia mgongo. nafikiri umenielewa. Mwanaume anafanya move pale anapoana signal ya "you may come". No signal, no move. Halafu hapo kwenye red, mwambie apunguze speed kwanza asije akaishia pabaya. Hapo kwenye blue naye awe tayari kwa hilo. Kwa vile "anampenda" huyo mwanaume, kuna uwezekano pia huyo mwanaume hampendi. Lolote linaweza kutokea. Kama wanaishi mtaa mmoja inawezekana jamaa ameshamwona huyo rafiki yako mara nyingi tuu lakini labda sio size yake? Pia mshauri awe anacheki cheki na mtaa wa pili pia, you never know. Pia wanaume we're flattered tunapotongozwa pia. Wanaishi mtaa mmoja, ana gari na hajawi kumpa hata lift?