Ungana nami kwenye haya maombi

Ungana nami kwenye haya maombi

The Only Kilo

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2010
Posts
352
Reaction score
87
Tamaaa imekaa kifuani mwangu kama ushanga wa gold na diamond! Kila mwanamke alie mzuri na msafi wa mwili kwangu namtamani na mara nyingi nafanya majaribio ya kutongoza na pia mafanikio ya mwanzo yanaonekana. Kwa kweli kwa asilimia kubwa sasa moyo umetawaliwa na tamaa kliko ambavyo mwanadamu hutamani kwa tamaa halisia za utu ulio kamilika..... Maombi yangu wka Mungu wangu aliye juu mbinguni na hapa chini duniani unsamehe ee Bwana maana nami ni mzinzi kama wazinifu wengine ni malaya kama wengine ni muhuni kama wahuni wengine! Baba niepushe na haya maisha yamenishika shingoni kama mafahali wafungwavyo nira ee Mwnyenzi Mungu. Kwa uweza wa Yesu Kristo naomba nikiamini mimi mwenye dhambi nimesahemewa na aliyeniweka hapa nilipo ataendelea knilnda na mkono wa ibilis. Amen
 
EE MWENYEZI MUNGU MUUMBA WA VYOTE.Twakuomba uyapokee maombi ya Mja wako,kama unavyopokea maombi ya Waja wengine.Amina
 
Tamaaa imekaa kifuani mwangu kama ushanga wa gold na diamond! Kila mwanamke alie mzuri na msafi wa mwili kwangu namtamani na mara nyingi nafanya majaribio ya kutongoza na pia mafanikio ya mwanzo yanaonekana. Kwa kweli kwa asilimia kubwa sasa moyo umetawaliwa na tamaa kliko ambavyo mwanadamu hutamani kwa tamaa halisia za utu ulio kamilika..... Maombi yangu wka Mungu wangu aliye juu mbinguni na hapa chini duniani unsamehe ee Bwana maana nami ni mzinzi kama wazinifu wengine ni malaya kama wengine ni muhuni kama wahuni wengine! Baba niepushe na haya maisha yamenishika shingoni kama mafahali wafungwavyo nira ee Mwnyenzi Mungu. Kwa uweza wa Yesu Kristo naomba nikiamini mimi mwenye dhambi nimesahemewa na aliyeniweka hapa nilipo ataendelea knilnda na mkono wa ibilis. Amen


Mi nazidi kukuombea kwa Mungu hasa ikiwa maombi yako hayo yatoka moyoni,may all u pray for come true.But N:B some efforts of yours are also required not only waiting for a miralce.
 
Tamaaa imekaa kifuani mwangu kama ushanga wa gold na diamond! Kila mwanamke alie mzuri na msafi wa mwili kwangu namtamani na mara nyingi nafanya majaribio ya kutongoza na pia mafanikio ya mwanzo yanaonekana. Kwa kweli kwa asilimia kubwa sasa moyo umetawaliwa na tamaa kliko ambavyo mwanadamu hutamani kwa tamaa halisia za utu ulio kamilika..... Maombi yangu wka Mungu wangu aliye juu mbinguni na hapa chini duniani unsamehe ee Bwana maana nami ni mzinzi kama wazinifu wengine ni malaya kama wengine ni muhuni kama wahuni wengine! Baba niepushe na haya maisha yamenishika shingoni kama mafahali wafungwavyo nira ee Mwnyenzi Mungu. Kwa uweza wa Yesu Kristo naomba nikiamini mimi mwenye dhambi nimesahemewa na aliyeniweka hapa nilipo ataendelea knilnda na mkono wa ibilis. Amen

Nicolas Mpenzi wangu kweli ndo tamaa imekupeleka kubaya kiasi hiki?kwanini huwa unanificha jamani leo adi nimekukata huku unatubu dhambi zako loh ama kweli.
Anyway ntajitahidi kukuombea uachana na hizo tamaaaaaaaaaaaaaazzzzzzzzzzzzz.lol
 
ee muumba mbingu na nchi, uturehemu sisi waja wako katika dhambi hii ya uzinzi, Roho i radhi lakini mwili u thaifu. In the name of Jesus na kataa zinaa.
( ikimbieni zinaa)
Mpingeni shetani nae atawakimbia.


AMEN
 
bora umemfuma akitubu kuliko ungemfuma akiendelea kukengeuka
Nicolas Mpenzi wangu kweli ndo tamaa imekupeleka kubaya kiasi hiki?kwanini huwa unanificha jamani leo adi nimekukata huku unatubu dhambi zako loh ama kweli.
Anyway ntajitahidi kukuombea uachana na hizo tamaaaaaaaaaaaaaazzzzzzzzzzzzz.lol
 
Acha tu najua ipo siku haya yote yatakuwa ni historia kwangu kwani Mungu hamuachi mja wake mpenzi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom