Kila kitu mbona dawa...tuhamie porini tukaishi na matunda...
wadau kuna rafiki yangu kanishauri niwe angalau kwa siku ninywe juisi ya unga wa ubuyu eti ni nzuri kiafya na hakuniambia kwa kina faida yake...mwenye kujua tujuzane tafadhali faida ntakayoipata kiafya
asanteni
Husaidia kuongeza kumbukumbu, huongeza kinga za mwili, hutibu figo, hutibu magonjwa ya moyo, macho kuona vizur, huimarisha fizi na mifupa pia ngozi na misuli.
mkuu kwa nini ulimuachia kabla hajakupa majibu ya kina?
ona sasa tunakosa point hapa.
mi imenisaidia sana kwenye kupunguza uzito na kuumwa kichwa, nakushaur uitumie mkuu.Dah..!kumbe faida ni za kutosha tu..basi inabidi nianze kunywa kwa wingi maana niliona kama jamaa ananizingua
Kweli nilipewa darasa hilo na mtaalamu mmoja.Husaidia kuongeza kumbukumbu, huongeza kinga za mwili, hutibu figo, hutibu magonjwa ya moyo, macho kuona vizur, huimarisha fizi na mifupa pia ngozi na misuli.
Mkuu LEGEwapi mzizi mkavu?? Au leo anasinzia??