Unforgettable true story

mh wanaume mna mambo mtu kumbe mnaweza kuwasiliana tu bila kujuana kiundani then siku mnameet na ukapewa papuchi ukapokea kwa mikono2? kina shehna ni wengi mtakapokutana nao hamtakaa msahau..pole sana utampata rachel mwingine siku ukisafiri kuja arusha.
 
Weeeeee....... tena umuache, ana mchumba huyo harusi September 2014


 
Ni stori ambayo Soggy alitusimulia...ni stori akikumbuka huwa analia.....kuhusu ya na bint flan,walikutana kwenye basi wakiwa safarini...wana MMU nani anakakumbuka haka ka wimbo???bi dada aliitwa rachel(recho)
 
mh! kweli ukimwi si janga la taifa, uliwahi kujua historical background yake?
 
Ni stori ambayo Soggy alitusimulia...ni stori akikumbuka huwa analia.....kuhusu ya na bint flan,walikutana kwenye basi wakiwa safarini...wana MMU nani anakakumbuka haka ka wimbo???bi dada aliitwa rachel(recho)

nakakumbuka asee nilikuwa nakapenda sanaa
 
Mhhh mkome!afu c ajabu ulimgegeda bla knga! Afu mkala sana ile french kiss yan ni noumer! Nenda kapime alafu usisahau kutubu
 
hata kumgegeda hujamgegeda alafu unasema ni unforgetable,ungemgegeda je anyway wapo watu wanaoamini katika love at first sight ila pole yako.nakuombea wepesi katika kumsahau
 
Ni stori ambayo Soggy alitusimulia...ni stori akikumbuka huwa analia.....kuhusu ya na bint flan,walikutana kwenye basi wakiwa safarini...wana MMU nani anakakumbuka haka ka wimbo???bi dada aliitwa rachel(recho)
nikipiga simu inaita na wala hapokei na akipokeaa basi haongei....
lilikuwa bonge moja la pini.
 
Ni stori ambayo Soggy alitusimulia...ni stori akikumbuka huwa analia.....kuhusu ya na bint flan,walikutana kwenye basi wakiwa safarini...wana MMU nani anakakumbuka haka ka wimbo???bi dada aliitwa rachel(recho)

Mandojo na Domokaya walitisha kwenye kiitikio huku Rah P akiwakilisha vyema sana, enzi hizo Soggy ni hatari...... Ila ile iliisha vibaya kuliko ya huyu mwanammu. Soggy kila akipiga simu demu hapokei na kama akipokea wala haongei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…