Unfollow Challenge kwa Chawa wote.

Unfollow Challenge kwa Chawa wote.

Mkohoti

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2020
Posts
2,460
Reaction score
3,881
Screenshot_20251105_133503_X.jpg


Msisahau kureport kabla ya ku unfollow.

Na msiwape engagement yoyote hao chawa. miziki na muvi zao watazisikiliza wenyewe.
 
Humu jf niliwa-ignore chawa wote naona kumezuka account mpya cha chawa nitafanyia kazi Instagram nili-unfollow chawa wote. Napenda content za dotto magari ila nikasema isiwe tabu nika-unfollow tu! Sasa nikifungua Instagram au jamii forums zaidi ya 30% ni content safi kabisa.
 
Humu jf niliwa-ignore chawa wote naona kumezuka account mpya cha chawa nitafanyia kazi Instagram nili-unfollow chawa wote. Napenda content za dotto magari ila nikasema isiwe tabu nika-unfollow tu! Sasa nikifungua Instagram au jamii forums zaidi ya 30% ni content safi kabisa.
Diamond followers wanapuputika huko, awe mfano.
 
View attachment 3497516

Msisahau kureport kabla ya ku unfollow.

Na msiwape engagement yoyote hao chawa. miziki na muvi zao watazisikiliza wenyewe.
KAMPENI YA KUOGOFYA KWA SAMIA NA WAHUNI WENZIE NI KUTANGAZA VITA NA WAZANZIBAR WOTE TANZANIA BARA ...HII KETE IKISUKUMWA NAWAAKIKISHIA KESHO TU SAMIA ANANYOSHA MIKONO .....WAZANZIBAR KWA SASA NI MAADUI KAMILI WA WATANGANYIKA
 
Hizo kengeee sijawahi hata kuzifollow...ila kama ni kuriport naunnga mkono...
 
Bila kumsahau AY . Huyu nilimuonya mapema hakusikia . Tusihishie ku unfolow bali watangazwe rasmi kama maadui wa taifa hili .... yan mtu anapata umaarufu kwa ajiri ya zen G . Leo anawasaliti ?
 
Bila kumsahau AY . Huyu nilimuonya mapema hakusikia . Tusihishie ku unfolow bali watangazwe rasmi kama maadui wa taifa hili .... yan mtu anapata umaarufu kwa ajiri ya zen G . Leo anawasaliti ?
Bila kumsahau Msando, aisee kale kajamaa pia ni kakusalimiwa.
 
Back
Top Bottom