Unene mwingine balaa!!

Huyo atakuwa ni binadamu wa nyama kama kuna wanaokula binadamu
 
Wengine tukiongezeka kidogo tu presure hizo, kisukari ndo usiseme. Mwachen Mungu aitwe Mungu.
 
Huyu jamaa kanenepa mpaka anashindwa hata kunyenyuka!!!

Hapa sina la kusema kwani makuzi ya mwanadamu yanaongozwa na tezi fulani naikumbuka ni pituitary gland kama sijakosea biology nimesoma zamani, hii ikifanya tofauti mtu anaweza kuwa na miaka 8 ukamuona kama ni wa miaka 32, si jambo la kubeza japokuwa chakula bila mpango na namna za maisha (life style) na magonjwa vinaweza kuchangia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…