Ndio maana wazungu wanaona aheri ya mbwa kuliko ndugu au marafiki,kwani mbwa hamukimbii mmiliki wake iwe ni wakati wa raha au shida ,wakati wote utamukuta chini ya miguu ya mmiliki.
Ukitaka kujua unafiki wa ndugu au marafiki utaujua ukiwa na uwezo ,kila mtu atakupenda na hata nyumbani kwako itakuwa hakukauki watu,sasa ngoma pale jahazi likiwa halijojo hata uliowaamini na waliokuwa karibu nao watakukimbia na kujifanya bize na utakufa na shida zako.Kitu muhimu ni kuwa katika maisha ya siku hizi jiangalie mwenyewe na wanao na mkeo au mumeo,mambo ya kaka ,dada,wifi,mjomba,watoto wa nani sijui.
Usipokuwa na kitu hata wazazi wanakuona zigo.