Usiogope mkuu Siku ya kurudisha namba itakuwa imefika...samaki nao wajipendelee siku moja moja jamani eh kila siku mna wabwia wao tu. Na kilio chao hakina machozi basi ndiyo mwakosa hata huruma...Ijapokuwa sijui huo usingizi mzito utaupataje ilhali ushaonyesha dalili za kuogopa...