Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,674
- 13,199
Kumbe alikuwa anatukana hospitali ya nani?
Huyu ni umbwa.. Tena koko...!!!Una akili kweli mleta mada, hivi vitu sio msli ya mtu ni mali ya Watamzania wote. Hiki kizazi kimekuwaje aisee?
Hospital za magufuli?Malipo ni hapa hapa duniani.
Mdude amekuwa bingwa wa kutoona juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania ikiwemo kuwajengea hospitali na zahanati kila mahali. Mdude amekuwa akisema hizi hospital hazina madawa na hazifai kutibu hata mende!
Niwape ushauri tu vijana wa chadema, siasa zisiwafanye mshindwe kuona juhudi kubwa zinazofanywa na rais wetu.View attachment 1092451
mkuu nikufahamishe tu kua, MAGUFULI hakuwai kua mmiliki wa hospitali Tanzania. hospitali ni za watanzania wote kwa sababu kodi zao ndio zilizojenga hospitali hizo. mwananchi anaposema huduma katika hospitali fulani imekua mbovu haimaanishi yeye akiugua hatatibiwa katika hospitali aliosema inatoa huduma mbovu isipokua anataka huduma ziboreshwe.Malipo ni hapa hapa duniani.
Mdude amekuwa bingwa wa kutoona juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania ikiwemo kuwajengea hospitali na zahanati kila mahali. Mdude amekuwa akisema hizi hospital hazina madawa na hazifai kutibu hata mende!
Niwape ushauri tu vijana wa chadema, siasa zisiwafanye mshindwe kuona juhudi kubwa zinazofanywa na rais wetu.View attachment 1092451
Magufuri ana hosputali ? Kazitoa wapi kwao chato ?
Magufuli hana hospitaliMalipo ni hapa hapa duniani.
Mdude amekuwa bingwa wa kutoona juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania ikiwemo kuwajengea hospitali na zahanati kila mahali. Mdude amekuwa akisema hizi hospital hazina madawa na hazifai kutibu hata mende!
Niwape ushauri tu vijana wa chadema, siasa zisiwafanye mshindwe kuona juhudi kubwa zinazofanywa na rais wetu.View attachment 1092451
Hosp za magu!!!!!!! Mataga bana. Hebu tutajie mojawapo ya hospital za magu. Tatizo jamaa aliwaaminisha kuwa nchi ni yake na ninyi kwa upumbavu wenu mkaaminiLakini hospitali zake hazijafa na utazitumia sana
Lakini hospitali zake hazijafa na utazitumia sana
Hawataki "wapinzani 'Bungeni" lakini covid-19 wanawalinda!Malipo ni hapa hapa duniani.
Mdude amekuwa bingwa wa kutoona juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania ikiwemo kuwajengea hospitali na zahanati kila mahali. Mdude amekuwa akisema hizi hospital hazina madawa na hazifai kutibu hata mende!
Niwape ushauri tu vijana wa chadema, siasa zisiwafanye mshindwe kuona juhudi kubwa zinazofanywa na rais wetu.View attachment 1092451
Hiyo sio mali ya mtu wala kikundi cha watu, ni mali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Jitahid uwe unatumia akil angalau mara moja kwa weekMalipo ni hapa hapa duniani.
Mdude amekuwa bingwa wa kutoona juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania ikiwemo kuwajengea hospitali na zahanati kila mahali. Mdude amekuwa akisema hizi hospital hazina madawa na hazifai kutibu hata mende!
Niwape ushauri tu vijana wa chadema, siasa zisiwafanye mshindwe kuona juhudi kubwa zinazofanywa na rais wetu.View attachment 1092451
Hopitali zake? Hebu jibu swali uliloulizwa, kazitoa Chato?Kumbe alikuwa anatukana hospitali ya nani?
Mwendazake hivi alikuwa na hospitali? Alizitoa wapi?Malipo ni hapa hapa duniani.
Mdude amekuwa bingwa wa kutoona juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania ikiwemo kuwajengea hospitali na zahanati kila mahali. Mdude amekuwa akisema hizi hospital hazina madawa na hazifai kutibu hata mende!
Niwape ushauri tu vijana wa chadema, siasa zisiwafanye mshindwe kuona juhudi kubwa zinazofanywa na rais wetu.View attachment 1092451
Magufuli hana hospital, kodi zetu zimejengaMalipo ni hapa hapa duniani.
Mdude amekuwa bingwa wa kutoona juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania ikiwemo kuwajengea hospitali na zahanati kila mahali. Mdude amekuwa akisema hizi hospital hazina madawa na hazifai kutibu hata mende!
Niwape ushauri tu vijana wa chadema, siasa zisiwafanye mshindwe kuona juhudi kubwa zinazofanywa na rais wetu.View attachment 1092451
Alitoa hela yake chato kuzijenga?Malipo ni hapa hapa duniani.
Mdude amekuwa bingwa wa kutoona juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania ikiwemo kuwajengea hospitali na zahanati kila mahali. Mdude amekuwa akisema hizi hospital hazina madawa na hazifai kutibu hata mende!
Niwape ushauri tu vijana wa chadema, siasa zisiwafanye mshindwe kuona juhudi kubwa zinazofanywa na rais wetu.View attachment 1092451
Magufuli alirithi hela kwa baba yake yupi mpaka akajenga hospital?Malipo ni hapa hapa duniani.
Mdude amekuwa bingwa wa kutoona juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania ikiwemo kuwajengea hospitali na zahanati kila mahali. Mdude amekuwa akisema hizi hospital hazina madawa na hazifai kutibu hata mende!
Niwape ushauri tu vijana wa chadema, siasa zisiwafanye mshindwe kuona juhudi kubwa zinazofanywa na rais wetu.View attachment 1092451