Baraza la kata unakazia hukumu Baraza la ardhi la wilaya ,Baraza la ardhi na nyumba wilaya unakazia pale pale sawa sawa sawa na mahakama kuu unakazia pale pale kwenye mahakama kuu isipokuwa una andika application ya kukazia hukumu ukiambatanisha na decree,judgement,drawn orderHabari Wana Jamii. Hivi process ya kukaza hukumu inakuaje? Mfano mmeshinda kesi mahakamani na unataka wale waliokushataki wasijate rufaa ni hatua zipi za kufata za kiesheri ili uweze kukaza hukumu?
Lazima waweke securityLakini upande wa pili pia wanao nafasi yakuweka stay of execution kuzuia jipange kwa vyote
Siyo lazima, hii ni kwa mahakama Kuu kwenda Court of Appeal