Unawezaje kupata hisia za kunyandua asiye jishughulisha kwa lolote

Ndugu wana Jf.

Kwa kweli ukosefu wa nguvu za kiume unasababishwa na wanawake wenyewe , ndugu nayasema haya kwasababu mimi ni muhanga mkubwa wa tukio la kuambiwa sina nguvu na wanawake kadhaa ili hali nguvu ninazo za kutosha sana

Kwa kweli niliangukia katika wanawake wabovu sana kitandani , ndugu unakuta mtu ajishughulishi kivyovyote vile hata kukukumbatia mwanaume wake hawezi kabisa, mbaya zaidi analala tuu anakuambia endelea hivi hiz hisia zinatoka wapi jamani.

Mwanamke chapu anakuvulia , chapu anajiweka anakuambia baba fanya kazi yako, hivi kweli unaanzaje kufanya kazi ili hali hatahujaexperience mkono wa mwanamke au kiss kwenye ngozi yako.

Wanawake kama hampoteyari tuwanyandue kwanini mnakuja gheto na kama hujui jinsi ya kumuandaa mwanaume wako damu iflow kwanini hata usiingie google kucheck ujanja kama tuu kuuliza wanawake wenzako unaona aibu.

Kwanini usiwe mbunifu , kwanini unakaa kama gogo lililokatwa na kutelekezwa mwisho na kusahaulika porini ukisubiria kumtangaza mwezio hana nguvu za kiume au ni hanithi

Kwanini mnatutangaza hatuna nguvu ilihali mnakua kama mnatukomoa kitandani na kututelekeza , mwanamke wa baridi, usafi huwezi katika sekta muhimu hata mavazi muhimu na bado ujanja huna wa kuamsha kichwa cha chini maarufu kama mguu watatu wenye kichwa wazi

Je, nyie wenzangu mkikutana na mwanamke wa dizaini hii uwa mnafanyaje kupata hisia nao maana isije ikawa mimi ndiyo nakosea labda kuna fomula zake?
Vijana wa kinondoni bwana..... ANATAKA WAMUANDAE.....BADALA YA KUANDAAA
 
Back
Top Bottom