kadiri kasimba
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 578
- 1,107
Wakuu hivi ni nini kinatakiwa kufanyika pale unapojikuta tayari umedate na mwanamke au mwanaume Mwenye GUNDU,NUKSI,MIKOSI?
Nitolee mfano mfano umedate na mwanaume x au mwanamke x na ghafla kesho yake unaanza kuona mambo Yako yanaanza kwenda ndivyo sivyo, vitu haviendi kama mwanzo, je ni njia ipi ya kujinasua je ni kuvunja hayo mahusiano fasta? Itasaidia? Au kurudi kwenye maswala ya kiimani Kwa watu wa dini na Imani zingine?
Naombeni ushauri na maoni yenu wakuu!
Nitolee mfano mfano umedate na mwanaume x au mwanamke x na ghafla kesho yake unaanza kuona mambo Yako yanaanza kwenda ndivyo sivyo, vitu haviendi kama mwanzo, je ni njia ipi ya kujinasua je ni kuvunja hayo mahusiano fasta? Itasaidia? Au kurudi kwenye maswala ya kiimani Kwa watu wa dini na Imani zingine?
Naombeni ushauri na maoni yenu wakuu!