Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,745
- 8,230
Kama una ndoto za kuwa mpiga picha mzuri anza kwa kutumia simu yako (smartphone) kupiga picha mbalimbali za mazingira na vitu unavyoona vinavutia,,kisha anzisha uzi au account Facebook au Instagram uwe unapost picha hizo. Ukipata likes na followers wengi tambua kuwa una kipaji na uko vizuri (Umeshatambua soko). Tafuta Camera nzuri anza biashara kidogo kidoooogo....baada fungua photo studio, weka cameras chukua tenda za kushoot kwenye shughuli mbalimbali...weka vifaa vingine ofisini kwako kwa ajili ya kuuza...unatoka!.....
KUMBUKA: Anza na simu uliyo nayo
KUMBUKA: Anza na simu uliyo nayo