unaweza kusema nini hapa

unaweza kusema nini hapa

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
Cook-with-Laptop.jpg
nawaachia wadau mtoe maoni
 
hakuna kingine HIZO NI BANGE TUU!
 
Bangi mbaya, vijana mnaambiwa hamsikii, haya ndiyo matokeo yake:tape2:
 
huyu kalikoka lile lenyewe la kigali msokotoka kama kidole gumba
 
labda kuna inshu ya muhimu alikuwa anasikiliza live,mf. ufunguzi wa kampeni za CDM, halafu anahitajika kupika, so what can he do?!....
 
Hataki kupitwa na k2 kwani kazi zote zinaenda ila nahc kuna msukumo wa noxious plant!
 
Back
Top Bottom