OGOPASANA
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 262
- 144
Habari wadau,
Eti biashara gani halali (kwa kuorodhesha zote unazojua) zinaweza kuingiza kipato cha TSH 1,000,000.00 kwa mwezi hapa nchini? na kwa kila biashara inahitaji mtaji wa kiasi gani na mazingira/ vigezo gani kuzingatia?
With thanks in advance.
Eti biashara gani halali (kwa kuorodhesha zote unazojua) zinaweza kuingiza kipato cha TSH 1,000,000.00 kwa mwezi hapa nchini? na kwa kila biashara inahitaji mtaji wa kiasi gani na mazingira/ vigezo gani kuzingatia?
With thanks in advance.