Unaweza kukaa muda gani bila kuishika simu?

Unaweza kukaa muda gani bila kuishika simu?

Napokuwa kazini muda wote nakuwa na simu yangu kwa sababu za kikazi... ila napotoka kazini sinaga muda na simu yangu kabisa...


cc: Kasinde
 
Starehe yangu kubwa ni simu na mpira kwa hiyo nadhani una jibu kamili kuwa ninakaa muda gani
 
Aisee na mpango wa kutumia simu toch yangu tu, mana naona hii ishanifanya mtumwa
 
Mimi simu imenitumbukiza
c3c20-internettrapfunnycartoon.jpg
 
Back
Top Bottom