Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,742
kunaa jamaa alifungwa miaka saba kwa kosa la wizii wa mamilion ya mapesa alioiba sasa kapokea baruwa kutoka kwa baba ake >
mwanangu umri wangu mkubwa niko mgonjwa na msimuu wa kulima umefika lau ungekuwa njee ungenisaidia kulima >mtoto ajibu baba
kwa hisani yakoo wacha usilime lile shamba kwa sababu pesa nilioiba nimezificha ktk shamba na hapa baruwa nikikujibu yasomwa na askari
magereza >>bac asubuhi baba kuamka akuta kama askari mia washalima lile shamba na pesa hawajazipata >baruwa ya mtoto baba nahisi
msaada niliokupa umekutosha sasa lima mchele,maharage na mahindi >ujanja kuishi mjini kuwa na akili baci baba kapona ciku hiyoo hiyoo
na mkee mwenginee kaongezaa
mwanangu umri wangu mkubwa niko mgonjwa na msimuu wa kulima umefika lau ungekuwa njee ungenisaidia kulima >mtoto ajibu baba
kwa hisani yakoo wacha usilime lile shamba kwa sababu pesa nilioiba nimezificha ktk shamba na hapa baruwa nikikujibu yasomwa na askari
magereza >>bac asubuhi baba kuamka akuta kama askari mia washalima lile shamba na pesa hawajazipata >baruwa ya mtoto baba nahisi
msaada niliokupa umekutosha sasa lima mchele,maharage na mahindi >ujanja kuishi mjini kuwa na akili baci baba kapona ciku hiyoo hiyoo
na mkee mwenginee kaongezaa