Bwege2030
Member
- May 10, 2025
- 82
- 152
Wazazi wazazi siri ya matajiri kama Mohammed Dewji (MO) na baba yake, mzee Gulam Dewji, si kiasi cha fedha walichorithishana, bali ni MIFUMO na ELIMU ya kifedha tangu udogo.
Utajiri haurithishwi, unafundishwa.
Matajiri hawawapi watoto pesa za matumizi; wanawafundisha kuzifanya pesa ziwatumikie.
Pesa ni Mfumo, si Kazi: Matajiri hufundisha watoto kuwa pesa inapaswa kuwatumikia kupitia uwekezaji (kama masoko ya hisa) bila wao kuwepo kila siku.
Nguvu ya "HAPANA": Maskini huogopa kusema hapana, lakini matajiri hutumia neno "Hapana" kulinda utajiri dhidi ya matumizi yasiyo na tija au lazima.
Mkopo ni Silaha: Matajiri hutumia mikopo kuzalisha na kumiliki mali (Hisa, Ardhi, Biashara), siyo kununua anasa.
Uvumilivu & Akiba: Mfundishe mtoto "Delayed Gratification". Akiba na budget si mateso, ni nidhamu ya kuelekea utajiri wa kudumu.
Umiliki vs Ajira: Lengo liwe kumiliki mifumo itakayodumu vizazi na vizazi (Legacy), na si kutafuta ajira ya muda.
Ukimwachia mtoto gari, ataliendesha; ukimwachia nidhamu ya kifedha, atanunua kiwanda cha magari.
Tuwafundishe watoto wetu kuwa Wamiliki ili kurithisha utajiri kwa tija!.
Utajiri haurithishwi, unafundishwa.
Matajiri hawawapi watoto pesa za matumizi; wanawafundisha kuzifanya pesa ziwatumikie.
Pesa ni Mfumo, si Kazi: Matajiri hufundisha watoto kuwa pesa inapaswa kuwatumikia kupitia uwekezaji (kama masoko ya hisa) bila wao kuwepo kila siku.
Nguvu ya "HAPANA": Maskini huogopa kusema hapana, lakini matajiri hutumia neno "Hapana" kulinda utajiri dhidi ya matumizi yasiyo na tija au lazima.
Mkopo ni Silaha: Matajiri hutumia mikopo kuzalisha na kumiliki mali (Hisa, Ardhi, Biashara), siyo kununua anasa.
Uvumilivu & Akiba: Mfundishe mtoto "Delayed Gratification". Akiba na budget si mateso, ni nidhamu ya kuelekea utajiri wa kudumu.
Umiliki vs Ajira: Lengo liwe kumiliki mifumo itakayodumu vizazi na vizazi (Legacy), na si kutafuta ajira ya muda.
Ukimwachia mtoto gari, ataliendesha; ukimwachia nidhamu ya kifedha, atanunua kiwanda cha magari.
Tuwafundishe watoto wetu kuwa Wamiliki ili kurithisha utajiri kwa tija!.