Mpitagwa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 2,339
- 1,119
Noma mkuu jamaa alikuwa anatisha alichukua ubingwa wa disco wa Africa mashariki kwa macho yangu naona pale silent inn
Na yule kijana alikuwa anacheza ngoma za asili za west africa, anachezea moto na wadada na anamwigiza shaba ranks alipotelea wapi yule?????