sawa mkuu kwa kuguswa kwako. pia kwa mtu amaeamini mtu flani anaeza saidia, anaweza mtag. maana hapa kuna foleni ya vijana wanataka kujua nini tatizo. tunashindwa tujisaidiaje ili kutatua tatizo hili.Hauko peke yako mkuu, mi mwenyewe nahangaika nayo hapa kila namna inanipa hiyo error. Ukifanikisha tujulishane, nikifanikisha nitakujulisha
Mkuu ni mtandao tu,mm ilkua hvyo ila saiz inakubali changamoto mikoa haifikiHabarini za majukumu ya leo wana jamii forums.
Naomba kuwashirikisha moja ya changamoto iliyotokea kwa watu kadhaa katika zoezi la uombaji wa kazi ya ualimu kupitia tovuti iliyotolewa na TAMISEMI. Baada ya muda mrefu wa mtandao kuwa bize hatimae mfumo umefunguka vizuri.
Baadhi ya watu wamefanikiwa kutuma maombi lakini kuna baadhi kila wanafungua upya au ku log in kwenye akaunti zao kuna meseji inyosomeka unauthorized user inatokea.
Sijajua tatizo ni nini, labda kwa yeyote aliyekumbana na tatizo hili u anaweza kutoa msaada kwa namna moja au nyingine anaweza saidia ili kutatua tatizo hili.
watu wachche waliandikiwa hivyo baada ya kutaka kutengeneza akaunti wakati tayari walishatengeneza akaunti hizo. hivyo walipotaka kutengeneza katika hatua ya mwisho waliletewa ujumbe huo. na walipotaka ku log in (baada ya kukumbuka kuwa walisha kuwa na akaunti muda mrefu ulopita) waliandikiwa hivyo pia.
Ahsanteni.
Unapotaka ku log in unatakiwa uandike hivisawa mkuu kwa kuguswa kwako. pia kwa mtu amaeamini mtu flani anaeza saidia, anaweza mtag. maana hapa kuna foleni ya vijana wanataka kujua nini tatizo. tunashindwa tujisaidiaje ili kutatua tatizo hili.
Mkuu vp umefanikiwaMkuu ni mtandao tu,mm ilkua hvyo ila saiz inakubali changamoto mikoa haifiki
Mkuu ilkubali ucku sana,ikanaliza hvyo sasa waliniletea tu ujumbe huo sijajua kama nimekamilisha au lahMkuu vp umefanikiwa
Ahsante. nilifnikiwa ku create. japo kuna baadhi ya watu nilokuwa ni ki wacreatia zilisumbua lakini hatime mambo yalikaa ppoa kwa wote.Unapotaka ku log in unatakiwa uandike hivi
USERNAME; your form index namba/mwaka uliomaliza form four
PASSWORD; Siri yako
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app