Unauonaje uvaaji huu wa nguo?

Unauonaje uvaaji huu wa nguo?

wepson

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
831
Reaction score
219
A:Ujanja
B:Ushamba
C:Ujinga
D:Kutojielewa
E________________


1654467_1016189585062126_5619316156414958200_n.jpg
 
Viol ,hahahaaa da jamaa katupa kabisa suluari, Hawa jamaa inabidi tuanzishe kampeni ya kuchapa viboko tu watanyoka , hawa sijui wanatumia unga au bangi:llama:
 
A:Ujanja
B:Ushamba
C:Ujinga
D:Kutojielewa
E________________


1654467_1016189585062126_5619316156414958200_n.jpg

Mkuu Unauliza UKURUTU KWENYE NGOZI? Mbona Kipo Wazi Tu Kuwa Uvaaji Huu UNAMAANISHA KUWA VIJANA HAWA WANATUTAFUTA UBAYA TUWATAGISHE MAYAI YA MAKAO MAKUU MAPYA MAKUMBUSHO KUTOKEA GEREZANI LUGODA!!!!!
 
Hii ni advert ...kwamba hapo nyuma panatumika.
 
Za akina adam mchovu na nay wa mitego hizo.

Kwao ndo ujanja.
 
Ushoga ktk magereza wao wameshindwa kujitambua tu
 
KUtokujitambua yeye ni bani yupo wapi anaelekea wapi ba hatma yake ni nini yote mapito so si kila kitu kiingiacho mjini na ww unataka uwe hivyo be open minded
 
I hate it uvaaji wa namna hii ni kinyaaa.. Hatutaki kuona hayo machupi yenu..
 
Back
Top Bottom