Unatumia introduction gani katika kutongoza?

Unatumia introduction gani katika kutongoza?

ACHINJEMERE

Member
Joined
Oct 19, 2014
Posts
42
Reaction score
19
Ni jambo jema sana siku izi ata wanawake wameanza kutongoza wanaume wanaowapenda.

Nasema ni jambo jema kwa sababu ya kupunguza jinamizi LA mfumo dume.

Kutongoza ni sanaa tam sana ukikuta mtu anaejua mwanzo, kati na mwisho kutongoza.

Na kutongoza ni jambo zuri sana kama unatongoza kwa malengo mazuri.

Ikumbukwe kwamba kila unapoona MTU mmoja basi ujue kua kuna mtu mmoja alitongozwa ilikupata uzao uo.

Najua hakuna kanuni ya mojakwamoja katika tutongoza kwa sababu, kutongoza kunategemea na mazingira halisi ya mke au mume ulikutananae.

Nataka kujua toka kwako unatumia maneno gani ya utanguliza yaani "introduction' ili kuteka usikivu kwa hadhira yaani me au ke.

NB
Kutongoza uku namaanisha ni makubaliano halali yatakayopelekea watu kufunga ndoa halali kulingana na dini zao au bomani.
Sijawalenga wale wazinzi.

Karibuni wake kwa waume mtupe maujuzi yenu yaliyopelekea kupata wenza mnaoishi nao.
 
NB
Kutongoza uku namaanisha ni makubaliano halali yatakayopelekea watu kufunga ndoa halali kulingana na dini zao au bomani.
Sijawalenga wale wazinzi..

Kwa angalizo hili ngoja nibakie kuwa mtazamaji tu hapa....

Ila ukitaka nondo za jinsi ya kutongoza ili upewe duduz nijulishe.
 
Mie nlijitambulisha ni mjumbe bunge la katiba,shemeji yako akanielewa fasta.
 
Hua naanza na swaga za

Amm.ammm mambo vipi mrembo...kwa saut yAke ataitikia poaa

Af sasa namtiririkia.kihivi

unajua kuwa mrembo hapa natoa mfano km namtupia uzi cc honeyFaith

unajua cc honeyfaith we mzuri sana nakipindi sana nimekufatilia nakukuchunguza tabia yako nimwanamke waaina yake unae hitajika na kijana mtanashat km mimi eeeh...unaonaje leo nikupeleke dina Fish market ukale kamba koch na pweza eeeh af nikupeleke pale born to shine ukachukue high hillz ehh...bs chukua hii laki mbili nenda nyumbani kajiandae af nibp nije kukuchukua mpenz

yan hapo lazma honeyfaith aanze kung'ata kucha

nakuwa nishawini game ndio zangu mkuu
 
Last edited by a moderator:
Haya jamani watu wenye ma degree yao kweye fani hii tupeni ujuzi basi na sisi tukawangukie ..
 
Mimi ni muislamu naanza na assalamu alaikum, (atakaejibu tutaenddlea mpaka akubali)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom