Unatongozwa taratibu unatakaa kwa nguvu, kwanini..?

Unatongozwa taratibu unatakaa kwa nguvu, kwanini..?

😹😹😹 Ilitakiwa akuwashe na kofi kuonyesha msisitizo..!!

Soma comment ya 8 peoples ina jibu lako murua..!! Wanawake wa dar tofauti na wa bush, wako nje ya muda wakiona unawasemesha hovyo road wanajua wewe mwizi au kibaka..!!
 
😹😹😹 Ilitakiwa akuwashe na kofi kuonyesha msisitizo..!!

Soma comment ya 8 peoples ina jibu lako murua..!! Wanawake wa dar tofauti na wa bush, wako nje ya muda wakiona unawasemesha hovyo road wanajua wewe mwizi au kibaka..!!
😂😂😂
 
😹😹😹 Ilitakiwa akuwashe na kofi kuonyesha msisitizo..!!

Soma comment ya 8 peoples ina jibu lako murua..!! Wanawake wa dar tofauti na wa bush, wako nje ya muda wakiona unawasemesha hovyo road wanajua wewe mwizi au kibaka..!!
hili nalo ndo yaleyale nani kakuambia nilimtongoza barabarani..?
 
Midada myengine inamambo ya ajabu lijitu unalitongoza kwa staha na ukimya ila lenyewe likiwa limekoswa ustahimilivu linakujibu kwa kubwatuka kwanguvu!, ni kama vile limepewa kipaza sauti ama tupo kwenye mkutano wa hadhara kila mtu anahitaji kusikia!!.

Sio tu habari kusambazwa mtaani mpaka mitandaoni!, huu sio ustaarabu kama mmeamua kuwa vyombo vya habari mseme ili nasisi tuanze kutongoza kwa vipaza sauti!.
Mtasema nang'aka kisa nimekataliwa, hapana na kukataliwa ni sehemu ya maisha lakini ndo mtu ukatae mpaka mishipa yashingo ikukakamae..!!

Hii tabia inachagizwa na nini?, mnashida gani au ndio style mpya ya kujibu watu hivyo..?
Of course umekataliwa ndio maana umekuja hapa,na ni kweli hiyo sio tabia nzuri unatongozwa kimya kimya wewe unakataa kwa kubwatuka.Huo ni udhaifu mkubwa na si staha hata kidogo
 
hili nalo ndo yaleyale nani kakuambia nilimtongoza barabarani..?
Sasa hasira zako za kukataliwa usiniletee mimi nyoko weeh..!! 😹😹😹

Huyo mwanamke unataka kusema ulimtongoza ndani ya ndege au?
Hakuna mwanamke utakayemtongoza sehemu za heshima akakujibu kwa kubwata au kupayuka..!!

Hizo ni tabia za watu wa uswahilini buza na vingunguti..
 
Sasa hasira zako za kukataliwa usiniletee mimi nyoko weeh..!! 😹😹😹

Huyo mwanamke unataka kusema ulimtongoza ndani ya ndege au?
Hakuna mwanamke utakayemtongoza sehemu za heshima akakujibu kwa kubwata au kupayuka..!!

Hizo ni tabia za watu wa uswahilini buza na vingunguti..
Momy muda si mrefu utakula ngumi...😂
 
Back
Top Bottom