Nakuja mwaya ..
Kaka yako yuko safarini hivi sjakwambia kaenda kumtembelea H??
Vipi tena? what happened to your earlier statement ya watu kujadili kwa heshima? Si ulisema JF ni jukwaa la furaha? acha hivo bwana!
because you don't have to think real hard..
you can write a lot of crap .. no one cares..
mi naweza deal na wewe kuanzia ndani ya net hadi kwenye kitanda cha mmeo. ungekuwa hutembelei kinondoni ningesema kweli. nikishindwa kukupiga sishindwi hata kukupopoa na jiwe. wewe unaishi nyumba ya vioo, usijaribu kuingia anga zangu. Mimi ndo figganigga. unanikanyaga bahati mbaya nakulipua makusudi. endelea na upuuzi wako ndo utanielewa niko aje. Mia
hicho kicheko chako ndo kilio chako. jiliwaze na kusema screen. usijaribu hii namba. ntakuharibu sura zaidi ya hapo. unaleta mambo ya mzungumkuti hapa. utalewa bila kunywa dogo. ooohoo... Mia
Vipi tena? what happened to your earlier statement ya watu kujadili kwa heshima? Si ulisema JF ni jukwaa la furaha? acha hivo bwana!
he he he,nilikuwa nishasahau,wajua aliponitelekeza nilipata mwingine,japo si kama yeye ila hivyo hivyo tu?? Nitumie ka-Vodka wifi yangu nitulie huku nakusubiri....nimechoka sana,kuishi na usiyempenda tabu sana....lol
sifa zangu
ni mpole, mzuri, napenda pombe kali, chakula kizuri, mtoko wa maana, cost tunashea, ikitokea tukataka ku sex lazma condom sijapima bado, ni mrefu mweupe asili ya shombe kwa mbali, niko kula maisha, kama uko tayari toa sifa zako nitaku pm mwenyewe nitakae kuchagua. naoma sifa zako utaevutiwa na mm
hii kwa ajil ya wkend ijayo.
Pia watu tunachoka na ma-topic serious na yakukatisha tamaa kila saa,we need to have fun wifi, si kila saa..mara nimeachika,mume-ka-cheat, mafuriko, sijui inflation, oh Taifa Star imefungwa....tunahitaji topic ka hizi sometimes...!
Figganigga kaka yangu, you are better than that kwa kweli. Punguza hasira, kalale kwanza, kesho ukija uje ufute hizi posts.mabuduli kama haya yakija. unayapa chai ya kulalia. amekosa usingizi eti anakuja kuonja sumu kwa kuilamba.hahahaaa...!!. Anapima ulefu wa bahari kwa mguu. duh! huyu dogo anataka kujiletea balaa. siku zote mkataa pema pabaya panamuita. ndo kama huyu. nlivyosema vile akafikiri kwangu ndo pakuonyeshea umwamba.hahaaaa...!!. Mia
siku hizi basi huongei na mimi sijui deskmate wako pia yuko wapiFigganigga kaka yangu, you are better than that kwa kweli. Punguza hasira, kalale kwanza, kesho ukija uje ufute hizi posts.
Figganigga kaka yangu, you are better than that kwa kweli. Punguza hasira, kalale kwanza, kesho ukija uje ufute hizi posts.
NImesikitika ghafla kusikia ulichosema..
yaani umepata mwingine bila kuniambia? Halafu sasa hata humpendi.. Ni nini lakini kimekuingia wifi yangu?
ahhhhhh girls/women night out kesho jioni .. nakupitia taka usitake kwa sasa peleka hii unaihitaji na itabidi
tuongee kwa herufi kubwa kuhusu H...
hiyo glasi ya Martini itakutoa wazo my dear ....
Asante sana Michelle, we mrembo sana pia... I really like this actress...U mrembo sana Mwali, Heri ya mwaka mpya!
Haya bwana, kama unafurahi basi nafurahi pia.Mwali ukisoma sana comment zake ni kama comedy show flani hivi, mwache tu azidi kujimwaga..
usema ukweli ananifurahisha sana yaaani...
Mwali ukisoma sana comment zake ni kama comedy show flani hivi, mwache tu azidi kujimwaga..
usema ukweli ananifurahisha sana yaaani...
Asante sana Michelle, we mrembo sana pia... I really like this actress...
Deskmate alinambia atakuja karibuni ila naona kafunguliwa thread ya get well soon.siku hizi basi huongei na mimi sijui deskmate wako pia yuko wapi
Thank you! One of my dear friend in JF gave me that avatar when i joined JF and had no idea where or how to get one...lol
umenena cha maana sana wifi.
Tatizo wengi wetu tunachukulia kila kitu "serious"
ahhh tunatakiwa ku relax kidogo bana.. kama ile thread ya JF udaku
raha tupu mle.. ( I hope ulipata chance ya kuisoma )...
because you don't have to think real hard..
you can write a lot of crap .. no one cares..