AD mbona mimi ndo nilidhamini harusi na hujanitaja....dah....
umesahau H mimi ndie his best advisor?muulize Michelle....yaani i am more broken heart than you...lol
Hahahaha. . . sasa sinataka uwe unalala dearest?Sasa after saa nne ndo wapendwa wanakuja,itakuwaje?? Hunipendi dear,we wataka mi nishinde mchana hapa na Radhia na Mpolee tu???
Nope...mara nyingi huwa na observe tu back and forth za watu. Kwa mfano ile sredi ya Radhia earlier this week kuhusu uzuri wake. For all people know, Radhia could very well be a man.
And some people were like...you go on girl....if you got it flaunt it lol. It's all good though..it provided some comic relief to some of us.
ohhhh shit sorry ..
nisamehe ndugu yangu ....
yaani wewe na mimi vichwa vyetu vinafanana....
nilihisi hivyo kuwa labda ni male
na hizo id unazotaja.nilihisi humo humo ..funny...
Hahahaha. . . sasa sinataka uwe unalala dearest?
Au tubadili ratiba za wapendwa. . . .???!
Uliona sredi ya Radhia siku ile? Uliona ilifikia page ngapi na katika span gani?
Na ushaziona sredi za Zinduna? Kuna moja alianzisha kuhusu date yake.....heheheheheee hilarious stuff.
he he he, determined to destroy what i have now,huh? ha ha haaaaaaaaaaaa......couple of the century and role model!!
I actually can not believe me and him are history....life has a lot of surprises,i did not exepct this but, have accepted it and am happy....lol...share my happiness please!!
Nataka kulala na kukaa na wapendwa....sijielewi...anyway,let me switch off now dearest!! see you laters!!
lol! You'd a good laugh eeh!? LOL! 🙂
Na wewe umetuma???
See Boss, one thing I've observed about you is that you are a thinker. You think.
Nope...mara nyingi huwa na observe tu back and forth za watu. Kwa mfano ile sredi ya Radhia earlier this week kuhusu uzuri wake. For all people know, Radhia could very well be a man.
And some people were like...you go on girl....if you got it flaunt it lol. It's all good though..it provided some comic relief to some of us.
Aaaah, kwani yeye alilazimisha watu kufika huko? umepata majibu? au na wewe unasubiti kama EMT?Ndio mwali, nimejaribu bahati yangu kwenye huu mtoko japo sitafanya ile ki2....si unajua tena kikwetu haramu
AD mbona mimi ndo nilidhamini harusi na hujanitaja....dah....
umesahau H mimi ndie his best advisor?muulize Michelle....yaani i am more broken heart than you...lol
Kuji-enjoy tu. but mi sidhani kama alikua ni mwanaume yule.Unafikiri ni kwa nini mwanaume anaamua kuingia na ID ya kike?
...Nafurahi kusikia hivyo AD. Paparazzi na Mamarazzi watakuwa so busy kutafuta picha ya kwanza ya binti B & J. Atakayefanikiwa anaweza kujipatia $5m ya haraka haraka au hata zaidi lakini Baba na Mama nao watajitahidi kadri ya uwezo wao kuificha sura ya mtoto wao mpaka pale watakapokuwa tayari kuionyesha kwa Walimwengu.
Unafikiri ni kwa nini mwanaume anaamua kuingia na ID ya kike?
See Boss, one thing I've observed about you is that you are a thinker. You think.