Silence means YES bro,sisi ndo tunaendeleza thread hapa,yeye anakula raha....ndo raha ya kusema unachokitaka hadharani...lol
Usinambii na wewe umeapply? lol
Lucky him!
kuna mtu aliweka picha za huyu actress kule jukwaa la wakubwa nikasikitika sana... But nampenda tu. vile alivyo nampenda tu.
who is that?hashycool????lol
Dearest,loh.....!! wenzio hatuna hela za bia na vi-bar vyetu vya uchochoroni ukitoka kunywa soda upate na burudani unarudi na vipele mwili mzima (mbu),tumeamua tununue modem tukae JF,tuburudike, huko si kufikiria dearest?? we are having the type of fun that is affordable and safe healthwise....ila tunafikiria dearest!!
Khaaa! Ngoja na mie nianzishe lisredi langu.
Kumbe uliona? mi nilikua na-act on behalf... :A S embarassed:Kwani alikuwa amexkludi baadhi ya watu? Nalidhani kulikuwa na ikuo oportuniti mpaka kwa wanawake?
watu wanapokata tamaaa
wanatafuta ways to escape
Naona sasa umekosa hoja.
Mambo ya mume na ujauzito yanatokea wapi? Ulimuoza wewe?
Wakati mwingine mtu ukiona umeshindwa siutulie tu. Sio lazima uropoke hata mambo yasiyo maana, unapunguza heshima kama uliwahi kuwa nayo.
The Boss nawe bana usitaje jina zima bana .. unamuumiza Michelle..
Martin....Oh Martini....!
Nimefurahije sasa? na ka-usingizi nakasikia sasa, nitafurahi kukuona dearest na kuzungumza nawe kuhusu H (my disease) iyo kesho....can't wait,nina mistori ya kukupa pia kuhusu huyu shem wako wa sasa...lol...Cheers!!! One love!!
Hahahaahha. . .huo ni ubunifu dearest, tupigianeni makofi wote. Ila ukweli unabaki, angalau tungepiga story ambazo ni zinaongeza afya ya akili na mwili. Sio kuambiana mimi bikira, natafuta mwanaume (a crazy version of LOVE CONNECT) , mi mzuri nisifieni na mkikataa hivi na vile. Inafurahisha kidogo ila mtu unatoka empty, hata kicheko chake hakikai muda mrefu.
Ila wewe ni mmoja wa wafikiriaji wazuri humu ndani unastahili kupumzika. Kesho pitia thread Kurwa wangu aliyopendekeza JF UDAKU ucheke mpaka utakapoenda kulala, truly entertaining.
Naona sasa umekosa hoja.
Mambo ya mume na ujauzito yanatokea wapi? Ulimuoza wewe?
Wakati mwingine mtu ukiona umeshindwa siutulie tu. Sio lazima uropoke hata mambo yasiyo maana, unapunguza heshima kama uliwahi kuwa nayo.
That is my sensitive and considerate AD, reminding me of my past while i took sometime off to heal....only to be back and reminded of him by my friend...so painful...lol
Super Lucky hahah lol
Hujambo BAK..
Huyu dada ni actress mzuri tu, nashani rafiki yako alikusaidia kwa nia nzuri.Alifanyaje tena Mwali?? natamani nizione, manake huyu alonipa hii avatar atakuwa ana maana yake, ni vizuri nikamjua huyu binti vizuri....lol....nami nampenda (atleast tangu nipewe iyo avatar....)
Michelle, nimefurahi kukuona!
Happy New Year!