Nashukuru Lizzy kwa kunieleza maana sikuwa na data hizoJoseph siku hizi wanawake pia wanaacha sana tu!Finally na sisi tumeanza kuwachezea!
Mara nyingi wakaka wamekuwa wakihitaji wadada ambao wana tabia njema kwa malengo yasiyokuwa na future.
Anti samahani, hivi nyie akina dada mnaweza kukubali kutoa tunda kwa makubaliano ya kwamba tuchezeane halafu baadaye tusijuane? Manake hata mimi huwa natumiaga gia ya "'together in future'" ili nipate ninachokitaka kwa sababu nikiomba kuchezeana peke yake nahisi kama nitatoswa vile... Hebu nifungue macho basi.
Kwani "kuchezewa" kuna age restrictions? Unaweza kutana na mdada ana watoto 2 na huenda hajawahi olewa ila labda alizaa hao watoto akiwa kwenye mahusiano! Huyu naye ukimsomesha naye anaaanza kukwambia usimchezee maana aliisha chezewa sana! Nashindwa elewa nadhani wale mabinti wadogo wakisema kuchezewa naelewa haraka. Mtu kama Drogba ama Giggs utamchezesha mechi gani ashangae?
Nimeisha tendwa mara nyingi mno! Kuanzia mashuleni, vyuoni, makazini na mitaani...ila nasonga mbele....sijalalamika nimetumika wala kuchezewa.
Hahahahahahahah Rev bwana hili nalo neno mchungaji. Ila yeye huyu aliyezaa anaweza akawa hataki michezo yuko serious anahitaji mahusiano thabiti
Watoto wawili jamani! Mmoja inaeleweka kuna makosa wadada hufanya! Sasa Mtu yuko kwenye Mid thirties anaogopa kuchezeana?
Mhh wana namna hiyo mimi huona huyo kama Mwizi mzoefu anajaribu kuiba gerezani!
Anti samahani, hivi nyie akina dada mnaweza kukubali kutoa tunda kwa makubaliano ya kwamba tuchezeane halafu baadaye tusijuane? Manake hata mimi huwa natumiaga gia ya "'together in future'" ili nipate ninachokitaka kwa sababu nikiomba kuchezeana peke yake nahisi kama nitatoswa vile... Hebu nifungue macho basi.
Kwani "kuchezewa" kuna age restrictions? Unaweza kutana na mdada ana watoto 2 na huenda hajawahi olewa ila labda alizaa hao watoto akiwa kwenye mahusiano! Huyu naye ukimsomesha naye anaaanza kukwambia usimchezee maana aliisha chezewa sana! Nashindwa elewa nadhani wale mabinti wadogo wakisema kuchezewa naelewa haraka. Mtu kama Drogba ama Giggs utamchezesha mechi gani ashangae?
Siku hizi wa aina hii wako wengi tu na wamejipa majina kama F*** Buddy & Friends with benefits. Mkijisikia sikia mnatafutana na kujimwaga sehemu sehemu ili mmalize haja zenu na kisha kila mtu kushika 50 zake, lakini wengi inadaiwa inawashinda hii hasa Wanaume.
Wadada wanapenda sana hii kauli ""'together in future'" wakisikia hiyo! Kila kitu unapewa.
Nyandiwa au yeyote yule.., naomba nifafanuliwe hayo maandishi mekundu..!
Unakuta mkaka ni mchafu sana tu na bado anataka kuwa na mdada anayejiheshimu pasipo na future yeyote.
KWanini asiwatafute wadada wanaoendena na tabia yake ili kusiwe na kulaumiana?