Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,024
- 1,960
- Thread starter
- #21
Madaktari niliwatolea mfano tu;kama nao wanaweza fika form 4,waka safiri safiri hivi,wakaenda english course,basi wakawa na uwezo wa kutibu!
WATU ULIOWAONGELEA KTK MADA YAKO NI MADALALI PEKEE
Na wewe sijui umesoma shule gan? ambayo ilikufundisha kutoelewa haraka!!
aliyekuambia elimu ni udkatari tu. ni nani?
kwani hakuna waliopata degree lakn wakaishia kujiajili kama wanavyofanya darasa la saba au form fours,
kumbuka naongelea watu ambao kwa bahati baya hawakufika chuoni.!
umenielewa